wewe hujasikia ya mtume na nanii na baba
lahaula...
u guys don't ever dream of being fair to womens, angalia walivyo na ukurutu mwingi kichwani.... ukikakaa bila kuwa na scandal za ngono mtaani, hajawahi kukukamate ugoni au kasikia unagombaniwa mtaani na machangudoa ataanza wa nini mimi huyu ambaye no body is interested with him????
Ndio sasa hivi naamini kuwa mwanamke hajui anachotafuta.
bora hata wewe umeweza sema lahaula
mie huu mpambano nimeuona tangu mwanzo
nikawa nashindwa hata niingilie wapi.
Wewe upo kivulini. Unatamani ukakae juani?a) natamani mume wangu awe ana drink kidogo asiwe mlevilakini
(b) natamani asirudi home mapema arudi by saa nne usiku hivi ,itakuwa poa ila isiwekatoka kwa nyumba ndogo roho yangu nyepesi mie nitakufa
(c) sipendi mwanaume anayewahi nyumbani kumenya vitunguu swaumu,kukuna nazi nakutwanga tangawizi na kunipigisha maumbea ya mtaa,bora akae mtaani huko na wanaume wenzie apate maujanja yamaisha
(d)asiwe mlokole wa kiviile awe tu mcha mungu ,mlokole anaweza kukuambia nimeoteshwa maono waifu tufunge siku saba pia ninashuhudiwa moyoni nimuoe mwanakwaya fulani
By the way sijui wkend hii nitoke vipi
Ngoja niwasiliane na mchungaji wangu kama kuna sehemuya kutoa huduma ya maombi leo,maana shetani amewafunga watu nataka nikawafungue wawe huru .amina
i love u members
u guys don't ever dream of being fair to womens, angalia walivyo na ukurutu mwingi kichwani.... ukikakaa bila kuwa na scandal za ngono mtaani, hajawahi kukukamate ugoni au kasikia unagombaniwa mtaani na machangudoa ataanza wa nini mimi huyu ambaye no body is interested with him????
haya basi ingilia hapa hapa upenuni, mie ntafuata
lahaula...
kwa unachokitamani ni lazima utakuwa
na wake wenzako zaidi ya wanne.
kwa unachokitamani ni lazima utakuwa
na wake wenzako zaidi ya wanne.
Wewe umeanza lini kuicheza huo mchiriku au mnanda
a) natamani mume wangu awe ana drink kidogo asiwe mlevilakini
(b) natamani asirudi home mapema arudi by saa nne usiku hivi ,itakuwa poa ila isiwekatoka kwa nyumba ndogo roho yangu nyepesi mie nitakufa
(c) sipendi mwanaume anayewahi nyumbani kumenya vitunguu swaumu,kukuna nazi nakutwanga tangawizi na kunipigisha maumbea ya mtaa,bora akae mtaani huko na wanaume wenzie apate maujanja yamaisha
(d)asiwe mlokole wa kiviile awe tu mcha mungu ,mlokole anaweza kukuambia nimeoteshwa maono waifu tufunge siku saba pia ninashuhudiwa moyoni nimuoe mwanakwaya fulani
By the way sijui wkend hii nitoke vipi
Ngoja niwasiliane na mchungaji wangu kama kuna sehemuya kutoa huduma ya maombi leo,maana shetani amewafunga watu nataka nikawafungue wawe huru .amina
i love u members