Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,445
Kama kweli una upako dondosha hii thread, ili JF tutambue kuwa uliingiwa na shetani na kuianzisha ukiwa unconscious! :sleepy:
Unanikumbusha yule aliyesurubiwa na Yesu
Kama kweli una upako dondosha hii thread, ili JF tutambue kuwa uliingiwa na shetani na kuianzisha ukiwa unconscious! :sleepy:
tena akirudi mapema namrudishai think she is dreaming. First lady naomba mumpe ushauri huyu dada naona anataka kujichanganya huyu hajui anachoongea. Kuja saa nne then asiwe na nyumba ndogo ni sawa na kutaka jua lichomoze saa nne usiku. She cannot avoid na akicheza atafanya blunders ambayo ita mcost
Tunacheza hivyo hivyo kama nyie!Kha nini tena si wa mbele waa waa wa nyuma aaaah penyewe nyie mchiriku mnachezaje?
Hahaha! Unamwambiaje? Rudi nimalize kupika au?tena akirudi mapema namrudisha
Tunacheza hivyo hivyo kama nyie!
ahahaa sijui wewe utakuwaje wallah?
mimi nina upako wewe usipime? Nikisimama tu mapepo yanatimua yote
akaongee na wanaume wenzie huko? Anakuja kunyonya au?
mimi sinywi hata soda.watu wenye upako siyo wepesi wa kuongea maneno unayosema kwani wanajua kabisa maneno huumba na huepuka vitu ambavyo vita wa cost. May be wewe ni mnywaji na unataka kujustfy kwa kumtaka mume anayekunywa. Nakushauri usijaribu utalia maisha yako yooote ya ndoa. Nina mafano zaidi ya kumi na hapa nilipo sinywi na ninaishi comfortable na narudi nyumbani mapema na mke wangu yuko very happy about me na watoto wakiona saa moja imefika na dad sijafika home hunipigia kutaka kujua nini kimenipata mpaka saa hizo. Hayo ndiyo maisha na siyo vurugu unazotaka kujiletea mwenyewe utajuta!!!!!!!!!!!!!
hivo vitobo vyako sipati picha
sitaman mwanaume wa hivi hata chembea) natamani mume wangu awe ana drink kidogo asiwe mlevilakini
(b) natamani asirudi home mapema arudi by saa nne usiku hivi ,itakuwa poa ila isiwekatoka kwa nyumba ndogo roho yangu nyepesi mie nitakufa
(c) sipendi mwanaume anayewahi nyumbani kumenya vitunguu swaumu,kukuna nazi nakutwanga tangawizi na kunipigisha maumbea ya mtaa,bora akae mtaani huko na wanaume wenzie apate maujanja yamaisha
(d)asiwe mlokole wa kiviile awe tu mcha mungu ,mlokole anaweza kukuambia nimeoteshwa maono waifu tufunge siku saba pia ninashuhudiwa moyoni nimuoe mwanakwaya fulani
by the way sijui wkend hii nitoke vipi
ngoja niwasiliane na mchungaji wangu kama kuna sehemuya kutoa huduma ya maombi leo,maana shetani amewafunga watu nataka nikawafungue wawe huru .amina
i love u members
Watu wenye upako siyo wepesi wa kuongea maneno unayosema kwani wanajua kabisa maneno huumba na huepuka vitu ambavyo vita wa cost. may be wewe ni mnywaji na unataka kujustfy kwa kumtaka mume anayekunywa. NAKUSHAURI USIJARIBU UTALIA MAISHA YAKO YOOOTE YA NDOA. Nina mafano zaidi ya kumi na hapa nilipo sinywi na ninaishi comfortable na narudi nyumbani mapema na mke wangu yuko very happy about me na watoto wakiona saa moja imefika na dad sijafika home hunipigia kutaka kujua nini kimenipata mpaka saa hizo. hayo ndiyo maisha na siyo vurugu unazotaka kujiletea mwenyewe UTAJUTA!!!!!!!!!!!!!
a) natamani mume wangu awe ana drink kidogo asiwe mlevilakini
(b) natamani asirudi home mapema arudi by saa nne usiku hivi ,itakuwa poa ila isiwekatoka kwa nyumba ndogo roho yangu nyepesi mie nitakufa
(c) sipendi mwanaume anayewahi nyumbani kumenya vitunguu swaumu,kukuna nazi nakutwanga tangawizi na kunipigisha maumbea ya mtaa,bora akae mtaani huko na wanaume wenzie apate maujanja yamaisha
(d)asiwe mlokole wa kiviile awe tu mcha mungu ,mlokole anaweza kukuambia nimeoteshwa maono waifu tufunge siku saba pia ninashuhudiwa moyoni nimuoe mwanakwaya fulani
By the way sijui wkend hii nitoke vipi
Ngoja niwasiliane na mchungaji wangu kama kuna sehemuya kutoa huduma ya maombi leo,maana shetani amewafunga watu nataka nikawafungue wawe huru .amina
i love u members
Haki ya nani kama kuna mtu unakwenda kumuombea kwa stahili hii,badala ya kufunguliwa ndio kwanza mapepo yatahamia na kwako!a) natamani mume wangu awe ana drink kidogo asiwe mlevilakini
(b) natamani asirudi home mapema arudi by saa nne usiku hivi ,itakuwa poa ila isiwekatoka kwa nyumba ndogo roho yangu nyepesi mie nitakufa
(c) sipendi mwanaume anayewahi nyumbani kumenya vitunguu swaumu,kukuna nazi nakutwanga tangawizi na kunipigisha maumbea ya mtaa,bora akae mtaani huko na wanaume wenzie apate maujanja yamaisha
(d)asiwe mlokole wa kiviile awe tu mcha mungu ,mlokole anaweza kukuambia nimeoteshwa maono waifu tufunge siku saba pia ninashuhudiwa moyoni nimuoe mwanakwaya fulani
By the way sijui wkend hii nitoke vipi
Ngoja niwasiliane na mchungaji wangu kama kuna sehemuya kutoa huduma ya maombi leo,maana shetani amewafunga watu nataka nikawafungue wawe huru .amina
i love u members