Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 65,839
- 156,998
Wanajua fika wataaibibika... hivi ni kwanini CCM hawapendi midahalo? Zaidi ya ule wa 1995 akiwemo Mkapa, Lyatonga, na Cheyo CCM hawajawahi tena kupenda midahalo! How comes chama kiongozi (since independence) kinakwepa midahalo?
Funny enough, 2015/2020 CCM ilimsimamisha PhD holder yet wakakwepa midahalo; kuna uhusiano gani kati ya CCM na kutopenda midahalo? Hebu political scientists mfanye research kupata jibu la hii kitu.