GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,454
- 108,566
Kwa mliobahatika Kuutizama Jana mtakubaliana nami kuwa.
1. Wagombea Wenza wana Akili sana kiasi kwamba wanashawishi kuwa wakiwa Ikulu watakuwa Msaada mkubwa Kwa Mabosi zao (Marais)
2. Wagombea Wenza wamechujwa Kweli katika Vyama vyao husika na siyo tu wa Kukurupushwa Kiuhuruma au Kiupendeleo.
3. Wagombea Wenza hawajadili Upuuzi au Utoto wa kupoteza muda.
4. Wagombea Wenza wanajiamini mno Kiuwasilishaji.
5. Wagombea Wenza Elimu zao ni za uhakika na hazina Mashaka.
6. Wagombea Wenza wanaijua vyema nchi ya Kenya.
7. Wagombea Wenza hawababaiki Kimaelezo na wala hawatumii Neno 'Nadhani' katika Ujengaji wao wa Hoja bali walikuwa na uhakika wa Masuala Mtambuka.
Asanteni Wakenya na Wagombea Wenza wenu wa Urais na sina shaka kwa nilivyowaona Jana yoyote akishinda Kenya yenu itakuwa mikono Salama chini ya ama Mzee Odinga au Brazameni Ruto.
1. Wagombea Wenza wana Akili sana kiasi kwamba wanashawishi kuwa wakiwa Ikulu watakuwa Msaada mkubwa Kwa Mabosi zao (Marais)
2. Wagombea Wenza wamechujwa Kweli katika Vyama vyao husika na siyo tu wa Kukurupushwa Kiuhuruma au Kiupendeleo.
3. Wagombea Wenza hawajadili Upuuzi au Utoto wa kupoteza muda.
4. Wagombea Wenza wanajiamini mno Kiuwasilishaji.
5. Wagombea Wenza Elimu zao ni za uhakika na hazina Mashaka.
6. Wagombea Wenza wanaijua vyema nchi ya Kenya.
7. Wagombea Wenza hawababaiki Kimaelezo na wala hawatumii Neno 'Nadhani' katika Ujengaji wao wa Hoja bali walikuwa na uhakika wa Masuala Mtambuka.
Asanteni Wakenya na Wagombea Wenza wenu wa Urais na sina shaka kwa nilivyowaona Jana yoyote akishinda Kenya yenu itakuwa mikono Salama chini ya ama Mzee Odinga au Brazameni Ruto.