Natamani maprofesa wetu wawe kama Prof. Lumumba

Natamani maprofesa wetu wawe kama Prof. Lumumba

Kweli tatizo letu saaizi ni kukosa maadili na tamaa za kipuuzi. Mfano,kukubali kuchezewa elimu kuanzia shule ya msingi mpaka vyuoni. Ma Dr na Ma Prof. wetu nao wanatamani kuwa mabwenyenye tena kwa kutumia njia za hovyo kabisa. Tatizo kubwa lililopo ni kwamba,hatuamini katika haki ili kufanikisha mambo yetu. Ma. Dr. Ma Prof. Badala ya kuonyesha njia kwa sasa ndio wanaotupoteza. Wapo wachache wanajitaidi na lazima tuwapongeze tukiwaona wanafanya kama Prof.Lumumba.

Mambo?
 
Mkuu asante sana, dah huyu jamaa ni politics guru sana. I firstly heard him when he was a boss for PCCB ya kenya, is there any way kuipata hiyo talk?

Like i said earlier Jerrymsigwa check youtube au tovuti ya ITV mayb there wil be some clips, prof.Lumumba sijawahi msikia b4 but jana nilimkubali kwakweli kumbe Kenya kashika nyadhifa nyeti enhhh.
 
Last edited by a moderator:
Lipumba ana akili sana ana reasoning nzuri na anaongea kwa facts kweli ni prof nasikia ni mtaalamu wa uchumi ile mbaya

Tatizo kidogo ni kutokuwa consistency katika baadhi ya mambo yake !!!!!!!!!!!
 
Wanazuoni wengi wa Tanzania wapo kwenye 'Chama project'! Hakuna matarajio ya maana kutoka kwao kwani akili na elimu zao zimekuwa ni za kushikiliwa!
 
Ni Lumumba na siyo Lipumba hata watangazaji walikuwa wanakosea wanamwita Lipumba.

Maprofesa wetu hasa wa sheria na siasa na wasaka tonge na wanafiki kabisa.wapo tayari kupotosha nchi kwa kusaka umaarufu.umaarufu kwao hupimwa kwa uamahiri wa kupinga chama tawala basi.Msomi kutoka Kenya kawasema waziwazi.watalaani aliyemwalika.Profesa atasemaje kwamba maana ya kujadili rasimu ya katiba na kutunga katiba ni kupitisha rasimu iliyowasilishwa na tume kama ilivyo.huu ni kutufanya watanzania mbumbumbu.
 
Hivi yule prof wa maji naye tuseme ni msomi au mzigo?

Yule nani vile Majembe? Hamna kitu pale! Si unaona hata usoni anaonekana ni hamna kitu?

Nina hisia kwamba ktk TZ shida zimekuwa nyingi kiasi kwamba kila profesa anatamani kuwa mbunge afanye hayohayo ya kipuuzi kama wengine.

Yule anayeitwa Shivji yuko wapi? kasifiwa na machachari yake ya vijitabu vya sheria, lakini kaishia kulawitiwa tu na CCM. sasa anaficha uso bila mafanikio.
sI UMEMUONA H
 
Prof.Lumumba kutoka Kenya,nilimsikiliza kwenye Kigoda cha MWL.Nyerere na leo nimemsilikiza vizuri. Jamaa naona anastahili kabisa kuitwa Prof.

Tuna Ma-Prof. hapa lakini walio wengi wametekwa nyara kifikra na wanasiasa. Hawako huru kabisa,wanaogopa kusema ukweli. Wakiongea baadhi yao mpaka unawaza kuwa kuitwa Prof.kaitwa kama sifa wanavyojiita wakina Prof.Jay,Majimarefu au?. Wako wapi magwiji kama wakina Prof. Chachage?.

Prof. Lumumba ukimsikiliza mpaka unavutiwa maana anaonyesha ukomavu wa hali ya juu kabisa katika changamoto za Bara la Afrika na utatuzi wake.

Mapungufu najua anayo, kama binadamu huwezi kuwa perfect,lakini nataka Ma-Prof. wetu watuonyeshe njia kwenye mambo magumu ya kitaifa. Wanatakiwa waseme ukweli hata kama watachukiwa na watawala kwani ndiyo kazi yao.

Usitamani ma-Prof wawe kama Lumumba, huko unakwenda mbali sana! wewe tamani Rais wetu naye awe kama Obama! Usitegemee kuwa na watu kama Lumumba wakati hata Rais hajafikia kiwango cha Lumumba na huenda hajui kama anaweza kufikia. Enzi za mwalimu UD ilikuwa na watu kama hao na mazingira yaliruhusu, leo hii hakuna mazingira kama hayo.

Si unaona UD ilivyo sasa hivi? yule VC ni kama Head master na amewafanya wanafunzi kuwa kama wako shule ya sekondari. Yeye mwenyewe hajawahi kufanya la maana. Hao wanafunzi hata wawe ma-Prof. usitegemee lolote la maana.
 
JF unaweza ukauliza swali la ki-mbumbumbu kiasi hiki? hukuweza kusahihisha na ukaendelea kuelewa? Shit!
shit is your dickhead..............
na wewe unaona kuwa jf ni cheo cha akiliii??
 
shit is your dickhead..............
na wewe unaona kuwa jf ni cheo cha akiliii??
Let me take you down, you are cow dung!

Hapa ni JF ndugu, usiulize the obvious. Yaani kweli hukuweza kurekebisha kichwni mwako kosa la mwandishi mapaka uulize kwa maandishi? Hapa unastahili kujiunga ukisha maliza shule. Usijiunge wakati uko masomoni bado!
Me comprenez-vous?
 
Lipumba ana akili sana ana reasoning nzuri na anaongea kwa facts kweli ni prof nasikia ni mtaalamu wa uchumi ile mbaya

Prof Kabudi anajua bhana, tuache wengine lakini wapo.ambao wako very clear, wanajua kuzitendea haki taaluma zao! Hata Prof Mpangala aliitendea haki taaluma yake kwenye mdahalo mrengo S2 jana! Mdahalo wa baadhi ya Wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba ulikuwa mtamu hatari, ukimsikiliza Prof Kabudi, Mzee Butiku, H.Polepole Jaji Mzee Warioba kwa kweli watu walipata elimu tosha ya uundwaji wa katiba, maudhui yaliyomo kwenye RASIMU II, na mambo yanayopotoshwa bila kujua mfululizo wa vifungu ndani ya RASIMU II
 
Back
Top Bottom