Escardo-bird
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 622
- 225
Huyu baba(prof.Lumumba) hata mimi nimependa sana alivokua anatoa hoja zake yaani nizakisomi kweli kweli na kiswahili safi kabisa kajitahidi sana siyo kama ma prof. Nama dr. Wetu akisimama kuongea ni michosho tuu mara anukuu ukurasa mzima wa kitabu na kiingereza juu pasipohitajika bado hajajisifia yaan bure kabisa.