nina ile kitu kinaitwa home sick,nimechoka sana na maisha ya ugenini,lakini naogopa kurudi
home na kukwama,hasa nikisia mambo ya mgao wa umeme!!!lonely life not good.
usitishike kiasi hicho mkuuu
ukiwa na mshiko wa maana
hakikisha una nyumba ya kuishi
chukua likizo rudi home kwa mwezi kwanza
angalia wapi waweza tulia na wapi pa afadhali kidogo..
ukisha fanya ka research chako basi fungasha....
yakikushinda rudi huko mjuuu..
Rudi hme kaka hata kwa muda mfupi upate relief kdogo.ishawah kunitokea nlipoenda kuanza kazi so i knw how does it feel.u become so restless! Have a gud stay huko uliko but come back soon utupe mamkitu ya majuu"
nina ile kitu kinaitwa home sick,nimechoka sana na maisha ya ugenini,lakini naogopa kurudi
home na kukwama,hasa nikisia mambo ya mgao wa umeme!!!lonely life not good.
Rudi hme kaka hata kwa muda mfupi upate relief kdogo.ishawah kunitokea nlipoenda kuanza kazi so i knw how does it feel.u become so restless! Have a gud stay huko uliko but come back soon utupe mamkitu ya majuu"
nina ile kitu kinaitwa home sick,nimechoka sana na maisha ya ugenini,lakini naogopa kurudi
home na kukwama,hasa nikisia mambo ya mgao wa umeme!!!lonely life not good.