Bree ven
JF-Expert Member
- Apr 11, 2013
- 375
- 367
- Thread starter
- #101
Mwanaume ni mwanaume .mie mke wa mzungu ila mzungu ana kupenda haswa utapeli wa mwanamke wa kiafrika utaishia Kwenye kuuliwa.No jokes no drama yes means yes akikushtukia unamalizwa and you will never recover.Uko kutulia umapepe atakuangaliaaaa atakumwaga Ghafla.Valentine day Christmas ndio wanamwacha Mtu .Lazima umpende Mtu Kuwa nae,wazungu wana save Pesa ,mwanaume wa kiafrika uwii kabidhi mshahara kwa mwanamke ,mzungu hakupi cash unataka Kitu atakuambia get in the car twende atakupa.Lakini awe mchina mzungu mhaiti Lazima upende kwanza wazungu .Halafu siri moja uwe very wild mwanangu sio mwanaume wa kiafrika zima taa jifunika shuka nomaaaa
pamoja sana dada...