Natamani kumsamehe baba mzazi

Natamani kumsamehe baba mzazi

Ugomvi kati ya mama na baba japo umekuathri lakini haukuhusu na wala huna sababu ya kuungilia mm nina imani hata mamako inawezekana alimtenda babako japo yy kakwambia tu babako ndo alikuwa na matatizo kama ingewezekana kuwakutanisha mama na baba ungejua mbichi na mbivu lakini haiwezekani na tabia yako ya kuchokonoa utakumbushia vidonda ambavyo vimekwisha pona! Mpaka baba asuse familia jua siyo bure, ushauri wangu fanya yako muheshimu km babako maana hata ufanyeje hutompata baba mwingine, kwa kuwa ww ni dume ipo siku utakuwa na familia ndo utajua kwa nn watu km design ya babako hufanya vile
 
najiuliza sipati jibu. kwa nini wengi hufikiria kwamba mzazi aliyemtelekeza mwana siku za usoni atamhitaji huyo mwana kwa msaada? je haiwezekani kwamba mwana aliyetelekezwa na mzazi akishamfahamu huyo mzazi na wakarekebisha mambo yao wanaweza saidiana siku zilizobaki za maisha yao?
 
Back
Top Bottom