pole sana ila kuwa muangalifu,usikute mama yako alishakujaza maneno fulani,ambayo pangine na baba yako anafahamu.
Ushauri.
Msamehe halafu endelea na maisha yako.
Wewe nimtu mzima sasa.
Don't live with the past.
Let it go!
Bado haoni umuhimu wenu huyo umejisogeza karibu lakini bado mkuu Mungu mwenyewe kaona jitihada yako achana nae huyo
Focus katika kumfanya mama yenu awe na furaha na ajione blessed kuwa na nyie kama watoto wake maana nyie ni zawadi yake toka kwa Mungu