Natamani kumpost...

Natamani kumpost...

Nae atakuwa jiniaz ku divert calls zako wakati simu yako unayo wewe.
 
Mtoa madq na hilo jamaa lako wote mna akili za kitoto. Kaeni chini myamalize mfunge ndoa. Huo ujinga mnaoufanya mnaharibu ustawi wa mtoto mliyemzaa. Pia punguza utoto sijui mwanaume wa Sasa ni handsome kuliko yeye, huo ni utoto. Mme Bora au baba Bora sio sura au six pack ni tabia upendo na kujielewa

Nenda jishushe muombe radhi halafu grow up. Umeshazalishwa hujui kuwa mtoto anahitaji malezi Bora ya wazazi wote? Hayo ma DP na maujinga ujinga yatakusaidia nini. Na elewa hata huyo uliyenae sasa anakuchezea tu hakuna mtu mwenye malengo na lidada lililozalishwa huko na m/ ume wake yupo. Anamega tu huyo

Stupid girl
 
Back
Top Bottom