Natamani kumpata kila msichana apitaye machoni mwangu? Why? Ushauri ...pls

PMNBuko

JF-Expert Member
Dec 27, 2010
967
154
Ndugu zangu wapendwa... Habarini za jioni?!

Imekuwa ni kasumba yangu na pengine hata kwa wanaume wenzangu (ambao wako wazi kuzungumzia ukweli kuhusu wao) kwamba, kila akipita mwanamke/msichana mrembo (Asiye ndugu yangu) karibu au hata mbali kidogo, namgeuka na kutamani nimtongoze, na anikubalie. Natamani kumpata kila binti mrembo anayekatiza machoni mwangu. Wakati fulani nimetimiza azma hiyo, na nimefanikiwa na pengine najilazimisha kuacha kumfuatilia kwa lengo la kumtongoza. Mke ninaye na ni mrembo. Nina mpenda naye ananipenda tena sana. Binafsi, siifurahii tabia hii na ningefurahi kama ningepunguza kasi hii hasa ukizingatia hali halisi ya sasa kwani magonjwa ni mengi sana, hasa VVU/UKIMWI. Je, nifanyeje ili niepukane na tabia hii?? Je ni tatizo la kiafya? Tafadhali wanaJF nipeni ushauri unaonifaa kwa ajili ya mustakabali wa maisha yangu... Nashukuru!!
 
hii kali mkuu ila wanaume wengi tuna hisia kama hzo labda hata wanawake nao wapo hivi sema m sijui labda watatueleza
 
Pole sana
Yafaa umrudie mungu wako ktk imani yako ili kuepukana na khali hiyo. Kuna maandiko yanayosema kuwa

"Ikimbieni zinaa. Kila dhambi aitendayo mwanadamu ni nje ya mwili wake, ila yeye afanyaye zinaa hutenda dhambi juu ya mwili wake mwenyewe " 1kor 6:

"Lakini kwa sababu ya zinaa kila mwanaume na awe na mke wake mwenyewe na kila mwanamke na awe na mume wake mwenye........" 1kor 7:2-5
 
hii kali mkuu ila wanaume wengi tuna hisia kama hzo labda hata wanawake nao wapo hivi sema m sijui labda watatueleza

Asante Mkuu. Labda sijui... ujasiri kwa wanaume? Lakini kuna tabia kuzidi kipimo, huenda kuna chanzo!!
 
hii kali mkuu ila wanaume wengi tuna hisia kama hzo labda hata wanawake nao wapo hivi sema m sijui labda watatueleza

ndo maana mmepewa UTASHI
mbwa,paka ndo wanaparamiana tu tena kwa adabu ...mpk hamu imshike na si kudanda danda tu..IWEJE WE BNADAMU USHINDWE KUHIMILI HAMU /TAMAA ZAKO?
kuwa bnadamu kakangu
usijiendekeze....unakoelekea utamtaman mpk dadako...ehh ndo manake sa km hauna kiasi na wala kujizuia unashindwa wat do u thk?
 
Ndugu zangu wapendwa... Habarini za jioni?!
Imekuwa ni kasumba yangu na pengine hata kwa wanaume wenzangu (ambao wako wazi kuzungumzia ukweli kuhusu wao) kwamba, kila akipita mwanamke/msichana mrembo (Asiye ndugu yangu) karibu au hata mbali kidogo, namgeuka na kutamani nimtongoze, na anikubalie. Natamani kumpata kila binti mrembo anayekatiza machoni mwangu. Wakati fulani nimetimiza azma hiyo, na nimefanikiwa na pengine najilazimisha kuacha kumfuatilia kwa lengo la kumtongoza. Mke ninaye na ni mrembo. Nina mpenda naye ananipenda tena sana. Binafsi, siifurahii tabia hii na ningefurahi kama ningepunguza kasi hii hasa ukizingatia hali halisi ya sasa kwani magonjwa ni mengi sana, hasa VVU/UKIMWI. Je, nifanyeje ili niepukane na tabia hii?? Je ni tatizo la kiafya? Tafadhali wanaJF nipeni ushauri unaonifaa kwa ajili ya mustakabali wa maisha yangu... Nashukuru!!

Banjuka tu Kiongozi - Maisha Mafupi .... Akikatiza tongoza tu!

YouTube - DNA - Banjuka
 
Hiyo ipo akilini.... usijitie katika vishawishi..., keep yourself busy na mambo mengine ambayo hayakuweki karibu mara kwa mara na hawa warembo kumbuka "A Zebra can Never Change Its Stripes" Once a Kiwembe Always a Kiwembe......
 
Hiyo ipo akilini.... usijitie katika vishawishi..., keep yourself busy na mambo mengine ambayo hayakuweki karibu mara kwa mara na hawa warembo kumbuka "A Zebra can Never Change Its Stripes" Once a Kiwembe Always a Kiwembe......

Duh!! Hadi kufa??? Umeniogopesha.
 
Kaka sina uhakika kama hapa kwetu tuna matherapist ili ningekushauri kwa kuanzia ukaanze kuonana nao kama watakuwa wanapatikana maeneo uliyopo.

Haya mambo yanatokana kimsingi na mambo makubwa mawilli

  • Hereditary trait kwa maana ya ni kitu cha kiukoo au trait ya ukoo wenu...ukichunguza utagundua huenda babu alikuwa hivyo, baba akawa hivyo, baba wadogo e.t.c. it is like family or clan thing and it tend to run in your family. Hapa mjomba huhitaji sana therapist zaidi ya kumhitaji "Mpakwa mafuta wa Jehova" akuwekee mikono na kuvunja malaana yote ya ukoo yasikufatilie


  • Psychological effects: it create sexual pathway in your brain survival and rewarding system na hivyo ina-affect eneo lako la ubongo ambalo liko for your higher thinking, rational thought and judgment. HAPA HAKIKA UNAMHITAJI THERAPIST AKUSAIDIE eneo hili na kuna namna ambavyo anaweza kukuweka kwenye some kind of therapy inayokusaidia ku-easy hiyo hali mpaka unafikia mahali unatulia na unaweza kuwa na self-control
 
Kwa mwanamume kamili kutamani vitu vizuri ni kawaida kabisa na ukweli ni kwamba asilimia kubwa ya wanaume tunatamani sana na si ugonjwa. Na hiyo feeling ndio inayokufanya uendelee kuwa na mwenzio, vinginevyo hata yeye usingekuwa nae.... hawa wenzetu nao wanajua hilo!!! Ila kuna kuishinda nafsi na hicho ndio kinachokutofautisha na mnyama..... ila ukizidiwa mara moja moja kusafisha nyota sio mbaya mkubwa :heh:
 
Kaka sina uhakika kama hapa kwetu tuna matherapist ili ningekushauri kwa kuanzia ukaanze kuonana nao kama watakuwa wanapatikana maeneo uliyopo.

Haya mambo yanatokana kimsingi na mambo makubwa mawilli

  • Hereditary trait kwa maana ya ni kitu cha kiukoo au trait ya ukoo wenu...ukichunguza utagundua huenda babu alikuwa hivyo, baba akawa hivyo, baba wadogo e.t.c. it is like family or clan thing and it tend to run in your family. Hapa mjomba huhitaji sana therapist zaidi ya kumhitaji "Mpakwa mafuta wa Jehova" akuwekee mikono na kuvunja malaana yote ya ukoo yasikufatilie


  • Psychological effects: it create sexual pathway in your brain survival and rewarding system na hivyo ina-affect eneo lako la ubongo ambalo liko for your higher thinking, rational thought and judgment. HAPA HAKIKA UNAMHITAJI THERAPIST AKUSAIDIE eneo hili na kuna namna ambavyo anaweza kukuweka kwenye some kind of therapy inayokusaidia ku-easy hiyo hali mpaka unafikia mahali unatulia na unaweza kuwa na self-control

Asante sana kwa ushauri huu mzuri. Nitaufanyia kazi. Sijachunguza vizuri kama hata wanaukoo wangu wako hivyo. Ila ninachofahamu, baba aliwahi kuoa wake 3. Sasa amebaki na 1 tu!!
 
Kwa mwanamume kamili kutamani vitu vizuri ni kawaida kabisa na ukweli ni kwamba asilimia kubwa ya wanaume tunatamani sana na si ugonjwa. Na hiyo feeling ndio inayokufanya uendelee kuwa na mwenzio, vinginevyo hata yeye usingekuwa nae.... hawa wenzetu nao wanajua hilo!!! Ila kuna kuishinda nafsi na hicho ndio kinachokutofautisha na mnyama..... ila ukizidiwa mara moja moja kusafisha nyota sio mbaya mkubwa :heh:

Aahh! Ok.
 
piga mazoezi kijana ial kama una pumzi ya kuwaapproach ni poa tu bora usije ukabaka tu
 
Asante sana kwa ushauri huu mzuri. Nitaufanyia kazi. Sijachunguza vizuri kama hata wanaukoo wangu wako hivyo. Ila ninachofahamu, baba aliwahi kuoa wake 3. Sasa amebaki na 1 tu!!

Well said...kama unataka kukaa na familia na kutulia hili ni jambo la kushughulikia

Tafadhali tafuta msaada zaidi wakati huu ambao sense yako inakusaidia kuona hili kuwa ni tatizo...ukichelewa brain system yako itakufanya uone ya kuwa ni jambo sahihi.

Kwa mfano hadi hapa kuna watu wameshakushauri kuwa endelea kukamu, ni mawazo mazuri kimsingi kwa mtazamo wao, lakini je ndido msaada unaotaka? kama sivyo weka pembeni maana utaendelea kuathirika brain system yako na hivyo kujikuta huna mahali pa kuchomoka

Kaka inawezekana kuwa na control ya mambo haya, nitaku-PM kukupa mfano mmoja mzuri wa mtu aliechomoka kwenye hali kama hii na kile alichofanya/alichosaidiwa mapaka akachomoka hapo
 
piga mazoezi kijana ial kama una pumzi ya kuwaapproach ni poa tu bora usije ukabaka tu

Ivuga, pumzi ninayo. Na kwa bahati nzuri au mbaya, asilimia 75 ya wale ninao waaproach wanakubali. Wengine nashindwa hata kutimiza ahadi, hadi wanaanzisha ugomvi kwa kuniambia, sasa kama ulinitongoza kwanini hunipigii simu na wala hutaki tukutane??? Hapo sasa hadi wife adaka baadhi ya sms, noma mkuu!!
 
Kwa mwanamume kamili kutamani vitu vizuri ni kawaida kabisa na ukweli ni kwamba asilimia kubwa ya wanaume tunatamani sana na si ugonjwa. Na hiyo feeling ndio inayokufanya uendelee kuwa na mwenzio, vinginevyo hata yeye usingekuwa nae.... hawa wenzetu nao wanajua hilo!!! Ila kuna kuishinda nafsi na hicho ndio kinachokutofautisha na mnyama..... ila ukizidiwa mara moja moja kusafisha nyota sio mbaya mkubwa :heh:


Babu yao hapo nimekupata vizuri kabisa...hapa unazungumzia thing of nature ambayo Mungu mwenyewe alituumbia ili tuhitajiane..

Hata hivyo kila kitu kina utaratibu wake na kinapokuwa nje na kinyume na utaratibu wake basi hapo ni tatizo zaidi......Kwa ushauri na mtazamo wangu ni bora tumsaidie PMNBuko namna ambavyo ataji-control na kutumia ile kitu ambayo ni God's own made kwa utaratibu mzuri na awe na ustawi.

Mpaka kaja kuweka wazi jukwaani basdi ujue amechoka na aliechoka anapewa msaada....AU SIO BABU YAO??

Namaanisha atulie na kimwana wake kama wewe ulivyotulia na kimwana wako hapo...teheteh
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom