PMNBuko
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 967
- 154
- Thread starter
- #41
njo nikufanyie maombi, kwa mungu hakuna linaloshindikana.
Husninyo, naomba uniombee kimya kimya, make naogopa hata tukionana unaweza kuwa unaomba mie nawaza mengine!! Anyway, that is the way I am, but najaribu kuzuia mazingira niliyomo, sijui kama nitafanikiwa. Indeed pray for me!!