PMNBuko
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 967
- 154
- Thread starter
- #61
Huu ni wimbo tu mungu akubadilishe.(Macho yangu yamejaa tamaa siachi msichana kupita mbele yangu, pamoja nakua nimeoa lakini sina hakika ndo udhaifu wangu, ni hurumie nisafishe ni badilishe mungu mwenye rehema) Mungu akuponye kutoka pepo la uzinzi.
Asante kwa ushauri.