Natamani kujua maisha ya marehemu Al Habib Alhaji Aziz Massanga (Zingizi)

Sijaelewa hasa unachotaka ni kitu gani kwenye huu uzi mkuu. Umeuliza kila unapoandika watu waseme ukweli kuhusu biashara yake, kwanini unataka kulazimisha mambo ya habari za kusikia? Wewe kama unauelewa ukweli kuhusu biashara yake si uuweke hapa hadharani?

Watu wanaongelea yale waliyoyasadiki, kuyashuhudia na kuyaona. Hizo habari za kusikia hata wewe kuna watu wanasikia mengi kukuhusu lakini kwa vile ni kusikia wanapotezea.

mrangi amekupa ushuhuda wa jinsi alivyomfaham na alivyompa msaada kupata biashara ya kuagiza maziwa.

Mie nakwambia nimepanga na kuishi miaka zaidi ya 9 kwao Msasani na alikua akija kumsabahi Bibi yake karibia kila wiki. Kasaidia watu wengi kwa misaada inayoonekana. Wameenda hija na Mama yake waliporudi kaja kugawa zawadi kwa wote majirani na jamaa zake.

Kwa kuwa umeuliza, subiria wanaoujua kuhusu biashara wakujibu, ila kuendelea kumtuhumu mtu kwa habari za kusikia sio sawa.

Jifunze kuwatendea wengine kama ambavyoungependa wao wakutendee wewe.
Kuna nyoyo hadi zusikie mabaya ya mtu yakitajwa hadharani ndio husuuzika.
 
mrangi Rudi hata utembee tu harakati bado zipo sana lakini copper siku hizi haiibiki labda uchonge upate vumbi uwatupie wachina wa Naorobi na Dar hapo utapata hela ya kula
Hahahahaha hahahahaha
Cku hzi mbio siziwez
Muda sana nimetuliaaaa! Naogopa red card
Ila tulikoswakoswa kitwe, musenga hpo
Nishakaa sana kwenye mashamba ya appollo
Yale............issue ilikuwa kama sinema

Ila Sahv mambo yamebadilika
Ukifanya mistake utafungwa goli

Ova
 
Mbona mnaficha biashara yake ile iliyompa utajiri?

Wabongo kwa unafiki

Naona hadi sasa wote wanasema mazuri.tu ya marehemu..na hii ndio sifa ya waja wema!!. wakati mwingine kwenye watu wengi uwe unaificha roho yako mbaya .. kwanini unataka mtu mwema asemwe vibaya bila sababu? .. umenifanya nisome comments zote labda nitakuta watu watakaosema mabaya kwa marehemu lkn wapi.. mwenyezi mungu mlipe kwa wema wake na umsamehe alipokosea!..
 
Mimi sio mtata Mkuu wala sina chuki yeyote

Ila ukweli usemwe, huyo ni binadamu wa kawaida km sisi

Sasa mnapoficha yale mabaya yake mnakusudia nini?

Hata kama unaswalia msikiti wake, jua tu mwamba alikuwa monster

Na wala sio vipodozi
[/QUO
Mimi sio mtata Mkuu wala sina chuki yeyote

Ila ukweli usemwe, huyo ni binadamu wa kawaida km sisi

Sasa mnapoficha yale mabaya yake mnakusudia nini?

Hata kama unaswalia msikiti wake, jua tu mwamba alikuwa monster

Na wala sio vipodozi
daaaah we jamaa upo depressed makini loooh
 
Naona hadi sasa wote wanasema mazuri.tu ya marehemu..na hii ndio sifa ya waja wema!!. wakati mwingine kwenye watu wengi uwe unaificha roho yako mbaya .. kwanini unataka mtu mwema asemwe vibaya bila sababu? .. umenifanya nisome comments zote labda nitakuta watu watakaosema mabaya kwa marehemu lkn wapi.. mwenyezi mungu mlipe kwa wema wake na umsamehe alipokosea!..
Aaaamin Thumma Aaamin Inshaallah!
 
Lakini Boss ngoja Nikuwekee sawa wewe mabaya hayo huyasemi unataka wenzako waseme.
Mimi nilichojifunza kwenye msiba wake kujijengea legacy kwenye jamii ni bora zaidi hata ukiwa una machafu yako hayaonekani.
Mungu anipe mwisho mwema kama Zingizi kuliliwa na kila mtu ni jambo jema sana.
Mimi sio mtata Mkuu wala sina chuki yeyote

Ila ukweli usemwe, huyo ni binadamu wa kawaida km sisi

Sasa mnapoficha yale mabaya yake mnakusudia nini?

Hata kama unaswalia msikiti wake, jua tu mwamba alikuwa monster

Na wala sio vipodozi
 
Naona hadi sasa wote wanasema mazuri.tu ya marehemu..na hii ndio sifa ya waja wema!!. wakati mwingine kwenye watu wengi uwe unaificha roho yako mbaya .. kwanini unataka mtu mwema asemwe vibaya bila sababu? .. umenifanya nisome comments zote labda nitakuta watu watakaosema mabaya kwa marehemu lkn wapi.. mwenyezi mungu mlipe kwa wema wake na umsamehe alipokosea!..
Hakuna binadamu aliyekamilika lazima anakuwa na kasoro hizi na zile , Muhimu usiache mabaya yako yafunike mema yako jaribu kuyadhibiti mabaya yako na ukizijua kasori zako fanya juu chini kuzirekebisha ili zipungue ama ziishe kabisa lakini muhimu kabisa mbele ya jamii acha wema wako ujionyeshe
 
Raynavero atalipwa kwa matendo mazuri?
Je mabaya?

Watanzania tuache unafiki huku tunajua ukweli

Unafiki haufai, kila mtu apewe sifa anazostahili

Huyo mtu mnavyompamba hadi malaika wanakasirika

Unamwambia watanzania waache unafiki ?! Sasa hujioni wewe ndio mnafiki namba moja ?! Mbona husemi hizo biashara zake mbaya unazosema zilimpa pesa?!
 
Mkuu embu funguka ni biashara gani isiyo halali ilitomtajirisha?
Na huo u monster wake ni upi.
Kiukweli hata mimi hii ya vipodozi mpaka kujengewa watu nyumba na kulipa mshahara haijaniingia akilini.
Mbona humu tunamjadiligi Kanyau na yeye amejenga msikiti ana lisha mayatima mtu wa watu lakini huwa tunaongelea biashara yake ya Ngada.
Nitashangaa kweli kuliliwa na magomeni yote na kariakoo isiwe biashara ya unga.

La kwanza kumbuka hakutoka familia ya kimasikini baba yake Alikua transporter mkubwa mtu Zingizi namjua na familia yao naijua tumekaa wote Kariakoo enzi hizo.. vipodozi kuanza alipata kuaminiwa na kampung kubwa ya vipodozi SA huko wakampa kwanza kama mali kauli mizigo mikubwa tu na akawa muaminifu na kumbuka Huyu ni supplier wa Tanzania nzima na ni muuzaji wa jumla tu wa vipodozi vya clear na aina tofauti tofauti za bodyspray ni yeye tu ndio alikua akileta na alikua akiuza na nchi za jirani supplier ni yeye tu
 
Lkn sio kuweka legacy kwa kufanya Biashara haramu na kuumiza mamia ya vijana

Ana bahati alishtuka mapema akaacha
Kwani wengi huwa hawaachi
Lakini Boss ngoja Nikuwekee sawa wewe mabaya hayo huyasemi unataka wenzako waseme.
Mimi nilichojifunza kwenye msiba wake kujijengea legacy kwenye jamii ni bora zaidi hata ukiwa una machafu yako hayaonekani.
Mungu anipe mwisho mwema kama Zingizi kuliliwa na kila mtu ni jambo jema sana.
 
Lakini Boss ngoja Nikuwekee sawa wewe mabaya hayo huyasemi unataka wenzako waseme.
Mimi nilichojifunza kwenye msiba wake kujijengea legacy kwenye jamii ni bora zaidi hata ukiwa una machafu yako hayaonekani.
Mungu anipe mwisho mwema kama Zingizi kuliliwa na kila mtu ni jambo jema sana.

Umesema jambo la maana sana na Mungu akujaalie mwisho mwema
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom