Uko chipolopolo Sahv mwamba
Ova
Mwamba navua samaki mto zambezi na kisha nakaanga nawatupa koluwezi
Uko chipolopolo Sahv mwamba
Ova
Duh...Mwamba navua samaki mto zambezi na kisha nakaanga nawatupa koluwezi
Kuna nyoyo hadi zusikie mabaya ya mtu yakitajwa hadharani ndio husuuzika.Sijaelewa hasa unachotaka ni kitu gani kwenye huu uzi mkuu. Umeuliza kila unapoandika watu waseme ukweli kuhusu biashara yake, kwanini unataka kulazimisha mambo ya habari za kusikia? Wewe kama unauelewa ukweli kuhusu biashara yake si uuweke hapa hadharani?
Watu wanaongelea yale waliyoyasadiki, kuyashuhudia na kuyaona. Hizo habari za kusikia hata wewe kuna watu wanasikia mengi kukuhusu lakini kwa vile ni kusikia wanapotezea.
mrangi amekupa ushuhuda wa jinsi alivyomfaham na alivyompa msaada kupata biashara ya kuagiza maziwa.
Mie nakwambia nimepanga na kuishi miaka zaidi ya 9 kwao Msasani na alikua akija kumsabahi Bibi yake karibia kila wiki. Kasaidia watu wengi kwa misaada inayoonekana. Wameenda hija na Mama yake waliporudi kaja kugawa zawadi kwa wote majirani na jamaa zake.
Kwa kuwa umeuliza, subiria wanaoujua kuhusu biashara wakujibu, ila kuendelea kumtuhumu mtu kwa habari za kusikia sio sawa.
Jifunze kuwatendea wengine kama ambavyoungependa wao wakutendee wewe.
Kolwezi,lualaba province hii ,wasalimie hukoMwamba navua samaki mto zambezi na kisha nakaanga nawatupa koluwezi
Hahahahaha hahahahahamrangi Rudi hata utembee tu harakati bado zipo sana lakini copper siku hizi haiibiki labda uchonge upate vumbi uwatupie wachina wa Naorobi na Dar hapo utapata hela ya kula
Mbona mnaficha biashara yake ile iliyompa utajiri?
Wabongo kwa unafiki
Mimi sio mtata Mkuu wala sina chuki yeyote
Ila ukweli usemwe, huyo ni binadamu wa kawaida km sisi
Sasa mnapoficha yale mabaya yake mnakusudia nini?
Hata kama unaswalia msikiti wake, jua tu mwamba alikuwa monster
Na wala sio vipodozi
[/QUO
daaaah we jamaa upo depressed makini looohMimi sio mtata Mkuu wala sina chuki yeyote
Ila ukweli usemwe, huyo ni binadamu wa kawaida km sisi
Sasa mnapoficha yale mabaya yake mnakusudia nini?
Hata kama unaswalia msikiti wake, jua tu mwamba alikuwa monster
Na wala sio vipodozi
depressed beingMimi sio mtata Mkuu wala sina chuki yeyote
Ila ukweli usemwe, huyo ni binadamu wa kawaida km sisi
Sasa mnapoficha yale mabaya yake mnakusudia nini?
Hata kama unaswalia msikiti wake, jua tu mwamba alikuwa monster
Na wala sio vipodozi
Aaaamin Thumma Aaamin Inshaallah!Naona hadi sasa wote wanasema mazuri.tu ya marehemu..na hii ndio sifa ya waja wema!!. wakati mwingine kwenye watu wengi uwe unaificha roho yako mbaya .. kwanini unataka mtu mwema asemwe vibaya bila sababu? .. umenifanya nisome comments zote labda nitakuta watu watakaosema mabaya kwa marehemu lkn wapi.. mwenyezi mungu mlipe kwa wema wake na umsamehe alipokosea!..
Mimi sio mtata Mkuu wala sina chuki yeyote
Ila ukweli usemwe, huyo ni binadamu wa kawaida km sisi
Sasa mnapoficha yale mabaya yake mnakusudia nini?
Hata kama unaswalia msikiti wake, jua tu mwamba alikuwa monster
Na wala sio vipodozi
Hakuna binadamu aliyekamilika lazima anakuwa na kasoro hizi na zile , Muhimu usiache mabaya yako yafunike mema yako jaribu kuyadhibiti mabaya yako na ukizijua kasori zako fanya juu chini kuzirekebisha ili zipungue ama ziishe kabisa lakini muhimu kabisa mbele ya jamii acha wema wako ujionyesheNaona hadi sasa wote wanasema mazuri.tu ya marehemu..na hii ndio sifa ya waja wema!!. wakati mwingine kwenye watu wengi uwe unaificha roho yako mbaya .. kwanini unataka mtu mwema asemwe vibaya bila sababu? .. umenifanya nisome comments zote labda nitakuta watu watakaosema mabaya kwa marehemu lkn wapi.. mwenyezi mungu mlipe kwa wema wake na umsamehe alipokosea!..
Weka bayana huo ukweli unaoujua!Mimi ilinibidi nicoment Baada ya wadau kusema alitajirika kupitia duka lake lile la vipodozi!
Hadi nikashituka
Raynavero atalipwa kwa matendo mazuri?
Je mabaya?
Watanzania tuache unafiki huku tunajua ukweli
Unafiki haufai, kila mtu apewe sifa anazostahili
Huyo mtu mnavyompamba hadi malaika wanakasirika
Usijali....
Hapana mwanamboka haishi kinondoni
Ova
Mkuu embu funguka ni biashara gani isiyo halali ilitomtajirisha?
Na huo u monster wake ni upi.
Kiukweli hata mimi hii ya vipodozi mpaka kujengewa watu nyumba na kulipa mshahara haijaniingia akilini.
Mbona humu tunamjadiligi Kanyau na yeye amejenga msikiti ana lisha mayatima mtu wa watu lakini huwa tunaongelea biashara yake ya Ngada.
Nitashangaa kweli kuliliwa na magomeni yote na kariakoo isiwe biashara ya unga.
Lakini Boss ngoja Nikuwekee sawa wewe mabaya hayo huyasemi unataka wenzako waseme.
Mimi nilichojifunza kwenye msiba wake kujijengea legacy kwenye jamii ni bora zaidi hata ukiwa una machafu yako hayaonekani.
Mungu anipe mwisho mwema kama Zingizi kuliliwa na kila mtu ni jambo jema sana.
Lakini Boss ngoja Nikuwekee sawa wewe mabaya hayo huyasemi unataka wenzako waseme.
Mimi nilichojifunza kwenye msiba wake kujijengea legacy kwenye jamii ni bora zaidi hata ukiwa una machafu yako hayaonekani.
Mungu anipe mwisho mwema kama Zingizi kuliliwa na kila mtu ni jambo jema sana.
Lkn sio kuweka legacy kwa kufanya Biashara haramu na kuumiza mamia ya vijana
Ana bahati alishtuka mapema akaacha
Kwani wengi huwa hawaachi