S. H amon Ashabinjuka sana bodaLazima ujue kuhustle lakini naona kizazi cha vijana wa siku hizi Tanzania hawapendi hata kuvuka border, SH Amon, huyo mbunge ni Airo mtaje tu watu wamevusha magendo ya mrungi sana na cement ya kenya enzi hiyo viwanda bongo hakuna acha tu watu wanatoka mbali na hustle za roho mbaya watu wamecheza sana
S. H amon Ashabinjuka sana boda
Utajiri una siri sana kwa kila mtu
Kwa watu wanaomjua jamaa Ana utajiri sana
S. H amon naye wale aliyo hustle nao amewatoa sana ila wengine ndy vichwa pnzi
Ova
Lazima ujue kuhustle lakini naona kizazi cha vijana wa siku hizi Tanzania hawapendi hata kuvuka border, SH Amon, huyo mbunge ni Airo mtaje tu watu wamevusha magendo ya mrungi sana na cement ya kenya enzi hiyo viwanda bongo hakuna acha tu watu wanatoka mbali na hustle za roho mbaya watu wamecheza sana
Mbunge wa rorya hivi bado ni mbunge??Airo mashine ile
Mzee Wa darasa la 7
Ova
Syo wachoyoLile group lao ukifahamiana nao jamaa walikua na roho safi sana wanakuuzia ramani na mtaji ulikua unapewa wengine waliishia kufa kwa kuzidiwa na starehe
Yule mwenye hotel kule jiji lenye ziwa?Tatizo mtu akiwa na hela watu wengi wa nahisi ni madawa, ila narudia tena kukwambia kwenye hustle za Maisha Kuna siri nyingi na faulo nyingi znachezwa, tukisema tuzungumzie humu italeta balaa
Hivi unajua utajiri wa mb mmja kbla hajawa mb jaluo fulani aliupataje?
Elewa Maisha Yana mambo mengi na vipengele kibao
Ova
Airo mashine ile
Mzee Wa darasa la 7
Afu ukiikorofisha siku hizi inakushtaki kwa mwenye nchi ina kiwanda cha pipi na kampuni kubwa za ujenzi inalipa kodi ndefu hatari lakini haiwezi kumfikia shubash ambae kwenye viwanda vya nondo pekee kila mwaka analipa kodi bilioni 50
Mbunge huyo mileleMbunge wa rorya hivi bado ni mbunge??
Kumbe tatizo lako kanzu.haya kajambe mbele ya safariSawa marehemu hasemwi vibaya
Ila amini biashara yake iliyomtoa sio hiyo
Huyo alikuwa monster haswa nyuma ya pazia
Usidanganywe na kanzu
Pale magomeni kanisani alinusuruka...
Syo wengine wanakuita kwenye Kazi biasharaHahahaha, Mkuu usikute hiyo presha labda watu wa.....walimchungulia ,maswali yakawa magumu
Maana huo msikiti wa mikocheni ni kweli watu wanajua ni yy lkn kuna kibao kinaonesha ni donated toka taasisi Fulani ya kiislamu, ambapo watu wanadai alikua km muwakilishi wao hapa tz ,jamaa wanajenga visima na misikiti na misaada kwa wasiojiweza
Huna ukweli wowote unaoujua hayo madawa alikuwa anakuuzia wewe? na hizo mamlaka za serikali zinamwangalia tuu akifanya hizo biashara huku tumeshuhudia mapapa wote wametiwa mbaroni.uzushi mtupuuuSamahani Mkuu kama nimegusa maslahi yenu
Ila sikupenda nikae kimya wakati naujua ukweli
Ameshatangaza hataki tena kugombea 2020.Mbunge huyo milele
Ile mashine sana
Ova
Hao si mazhandu family bus service
Hivi bdo wapo
Ova
Uko chipolopolo Sahv mwambaWapo bado wanapiga kwacha tu kama kawaida