Kwnza pole sana, mimi mwenyewe mpaka hivi ninavyo andika Haya mahusiano yangu ni kama sijui kama yanaweza kuendelea, ila nimemwachia Mungu, naomba nikushauri kufuatilia jambo hilo na kama ukikuta ni kweli, fanya maamuzi kwa kuzingatia mazuri na mabaya ila kuishi na mtu ambaye ana mtoto na mbaya zaidi hakukwambia inauma sana
Dada unaonekanika una roho mbaya kwel...kwan kama mpezio alipata mtoto kabla ya mahusiano yenu tatizo liko wap..maana ake hajakusalit..alafu mtoto ni zawad mungu anakuzawadia!