Natamani kujiunga na TISS, Nifanyeje?

Natamani kujiunga na TISS, Nifanyeje?

Kazi ya kumlinda mwanaume wakati kalala
 
Huwa hatuchukui watu wa aina yako! Usirudie kusema hatuna chuo cha mafunzo! Huwezi ukajua mpaka siku tutakayokuteka ndiyo utaamini kama tuna chuo cha mafunzo!
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Habari wakuu,

Kwa muda mrefu nimekuwa naipenda sana kazi ya Usalama wa Taifa. Ingawa najua kila mtanzania mzalendo ni Usalama wa Taifa lakini mimi naitaka kazi hii kwa urasmi kabisa.

Awali nilihisi kuna chuo cha mafunzo ya kusomea Usalama wa Taifa lakini baada ya kufanya utafiti na kuendelea kuwa na kiu kwa kazi hii, nimegindua hakuna chuo cha namna hiyo. Ndio maana leo nimeona nilete hoja hii ili nipatiwe msaada na maelekezo.

Naomba kuwasilisha!
Nilijua unatafuta mmoja mfundishe adabu.....nikusaidie
Ukikosa twende Alshabaab mshahara mzuri tuu [emoji338] [emoji336] [emoji337]
 
HIZI NYUZI ZIPO ZAIDI YA TANO.....

HEKMA IFANYIKE ZIUNGWE
 
Nenda hapo ktk kota zao unapopajua kawaambie wakupe process...
huyo mleta Mada ndio zake akikolea kiroba kilichopigwa marufuku. Aende akamuulize aliyemuuzia viroba vilivyopigwa marufuku na amwendee akiona kalewa viroba na yeye atamwelekeza si namna Ya kujiunga na TISS bali hata na CIA chap chap
 
Lijamaa linaleta Mada chokozi ili ku assess raia wanajua nn au wanamtazamo gani kuhusu tiss[emoji3][emoji3][emoji3],Sasa wewe ropoka makubwa utafutwe,max anakunawa tu kama hakujui kwa kutoa data zako.
 
Lijamaa linaleta Mada chokozi ili ku assess raia wanajua nn au wanamtazamo gani kuhusu tiss[emoji3][emoji3][emoji3],Sasa wewe ropoka makubwa utafutwe,max anakunawa tu kama hakujui kwa kutoa data zako.
Kwa staili aliyekuja nayo katukosa aje kivingine
 
Ni ya siri kwa vipi? Mbona watu wa usalama wa taifa tunawajua na wanaishi pale Kijitonyama kwenye kota zao.
Umebugi sasa kamq unawajua kwanini usiwafate huko kwenye kota zao na kuwauliza sasa umeleta hoja humu wakati watu unawajua
 
Kuwa mmbeya tu... ukipeleka habari nzito tatu kwa serikali na zikafanyiwa kazi....

We utakua na posibility kubwa ya kua don.

Sema angalia usiguse habari za wakuu... utaishia kifo au jail
 
Habari wakuu,

Kwa muda mrefu nimekuwa naipenda sana kazi ya Usalama wa Taifa. Ingawa najua kila mtanzania mzalendo ni Usalama wa Taifa lakini mimi naitaka kazi hii kwa urasmi kabisa.

Awali nilihisi kuna chuo cha mafunzo ya kusomea Usalama wa Taifa lakini baada ya kufanya utafiti na kuendelea kuwa na kiu kwa kazi hii, nimegindua hakuna chuo cha namna hiyo. Ndio maana leo nimeona nilete hoja hii ili nipatiwe msaada na maelekezo.

Naomba kuwasilisha!
Kwanza kwa tangazo lako hill, umeshapoteza sifa ya kimsingi ya Kazi husika
 
Back
Top Bottom