Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 17,306
- 19,877
mmmhhh mimi sipo huko aiseeMummchukue atawafaa sana huyo mtu
mmmhhh mimi sipo huko aiseeMummchukue atawafaa sana huyo mtu
Hahahaaaa,,,,,,,sawa mkuu umeacha lini???mmmhhh mimi sipo huko aisee
Hahahah ata mm nataka niwe raisi wawe wananilinda kila mara wanizunguke kama 30 iv wananilinda tu!!Mimi natamani kuwa na cheo cha kulindwa na hao watu, aisee kumbe binadamu tumetofautiana sana
Habari wakuu,
Kwa muda mrefu nimekuwa naipenda sana kazi ya Usalama wa Taifa. Ingawa najua kila mtanzania mzalendo ni Usalama wa Taifa lakini mimi naitaka kazi hii kwa urasmi kabisa.
Awali nilihisi kuna chuo cha mafunzo ya kusomea Usalama wa Taifa lakini baada ya kufanya utafiti na kuendelea kuwa na kiu kwa kazi hii, nimegindua hakuna chuo cha namna hiyo. Ndio maana leo nimeona nilete hoja hii ili nipatiwe msaada na maelekezo.
Naomba kuwasilisha!
Yeah true that niggaKazi ya kijinga sana hiyo
Ni ya siri kwa vipi? Mbona watu wa usalama wa taifa tunawajua na wanaishi pale Kijitonyama kwenye kota zao.
Nenda jkt,usaili huwa wanafanyia hukoKama kuna yoyote anaweza kuniunganisha naomba msaada, au ani-PM kunipa maelekezo.
Mkuu ukiona hivyo ujue kuna mtu/watu ana/wana/lotafuta hapa JF,hasa ukizingitia kuwa mada nyingi uchambuliwa/uanzishwa JF baadae magazetini (and Vise vesra).Sasa kumbe unajua hadi Makazi yao sasa unatusumbua nini kutuuliza humu kuhusu kupata Ajira huko Kwao? Kwanini tu usiombe kuingia humo wanakoishi ili uyaeleze haya yote ili uweze kusaidiwa kiharaka na ufanikishe unachokitaka kuliko kuja na huu Upupu / Upuuzi wako humu JF? Unafiki ni kitu kibaya mno kwa Binadamu.
Nimeipenda, heri mie sijasema.Huwa hatuchukui watu wa aina yako! Usirudie kusema hatuna chuo cha mafunzo! Huwezi ukajua mpaka siku tutakayokuteka ndiyo utaamini kama tuna chuo cha mafunzo!
Ndo jamii forums mkuu
Na mimi naomba kuwa mmoja wa mateka yenu mniingize kwenye kazi yenu.Huwa hatuchukui watu wa aina yako! Usirudie kusema hatuna chuo cha mafunzo! Huwezi ukajua mpaka siku tutakayokuteka ndiyo utaamini kama tuna chuo cha mafunzo!
Km vile kazi gani?Kazi ile inafaa kwa wasio muamini Mungu ... kama unaimani na Mungu wako kwa kufuata matendo mema ... hasa msimamao wa amri 10 za Mungu hiyo sio kazi ya kufanya itakupeleka motoni ...
Achana nayo sio kazi nzuri wala haifai ... haina uhuru ... kuna kazi nzuri sana za kizalendo zenye manufaa mpaka kwenye maisha yako baada ya kifo ...