Natamani kujiunga na TISS, Nifanyeje?

Singwa

Member
May 26, 2011
65
25
Habari wakuu,

Kwa muda mrefu nimekuwa naipenda sana kazi ya Usalama wa Taifa. Ingawa najua kila mtanzania mzalendo ni Usalama wa Taifa lakini mimi naitaka kazi hii kwa urasmi kabisa.

Awali nilihisi kuna chuo cha mafunzo ya kusomea Usalama wa Taifa lakini baada ya kufanya utafiti na kuendelea kuwa na kiu kwa kazi hii, nimegindua hakuna chuo cha namna hiyo. Ndio maana leo nimeona nilete hoja hii ili nipatiwe msaada na maelekezo.

Naomba kuwasilisha!
 
Bila shaka wananisikia, ndio maana nimeamua kuombea kazi hapa. Hope nitapata maelekezo sawia!
 
Wewe Umetumwa?

Habari wakuu,

Kwa muda mrefu nimekuwa naipenda sana kazi ya Usalama wa Taifa. Ingawa najua kila mtanzania mzalendo ni Usalama wa Taifa lakini mimi naitaka kazi hii kwa urasmi kabisa.

Awali nilihisi kuna chuo cha mafunzo ya kusomea Usalama wa Taifa lakini baada ya kufanya utafiti na kuendelea kuwa na kiu kwa kazi hii, nimegindua hakuna chuo cha namna hiyo. Ndio maana leo nimeona nilete hoja hii ili nipatiwe msaada na maelekezo.

Naomba kuwasilisha!
 
Kama kuna yoyote anaweza kuniunganisha naomba msaada, au ani-PM kunipa maelekezo.
 
Back
Top Bottom