Natamani kujiunga na TISS, Nifanyeje?

Natamani kujiunga na TISS, Nifanyeje?

Kazi ile inafaa kwa wasio muamini Mungu ... kama unaimani na Mungu wako kwa kufuata matendo mema ... hasa msimamao wa amri 10 za Mungu hiyo sio kazi ya kufanya itakupeleka motoni ...

Achana nayo sio kazi nzuri wala haifai ... haina uhuru ... kuna kazi nzuri sana za kizalendo zenye manufaa mpaka kwenye maisha yako baada ya kifo ...
 
Nenda wilayani yeyote kuna afisa usalama wa wilaya,muulizie hapo,atakupa maelekezo,
ila kazi hiyo wana kanuni zao,moja ya kanuni ni kwamba,
ukiomba hupewi,usipoitaka wanakuchukua,hua wana kuuliza unaitaka ili iweje? Kwa nini unaitaka? Kwa nini usiende polisi,jeshi au magereza?
 
Huwa hatuchukui watu wa aina yako! Usirudie kusema hatuna chuo cha mafunzo! Huwezi ukajua mpaka siku tutakayokuteka ndiyo utaamini kama tuna chuo cha mafunzo!

Kumbe kazi yenu ni kuteka watu ee? Kwa hiyo icho chuo chenu mnafundishwa mbinu za kuteka watu? [emoji23][emoji23][emoji23]
Haya magenge ya kuteka watu bora yasingekuwepo. Serikali imewafungulia adi chuo mjifunze adi mbinu za kuteka?
[emoji1549][emoji1549][emoji1549][emoji1549]
 
Bila shaka wananisikia, ndio maana nimeamua kuombea kazi hapa. Hope nitapata maelekezo sawia!
Tatizo kama hata babu yako aliwahi kutuhumiwa uchwawi hawakufuati. Angalia historia yako na familia yenu. Halafu hawa watu huanzia mashuleni ndo huenda kwenye jamii yenu. Nina rafiki zangu wawili ni watu wakarimu sana na hawana tabia ya ubabe wakiwa nje ya vituo vya kazi.
 
Kwa uelewa wangu hiyo kazi weww huendi kuomba..wao ndo huwa wanakufuata..so km hujawahi fatwa since enzi hizo sidhan km itatokea..labda lkn. !
 
Ni ya siri kwa vipi? Mbona watu wa usalama wa taifa tunawajua na wanaishi pale Kijitonyama kwenye kota zao.

Sasa kumbe unajua hadi Makazi yao sasa unatusumbua nini kutuuliza humu kuhusu kupata Ajira huko Kwao? Kwanini tu usiombe kuingia humo wanakoishi ili uyaeleze haya yote ili uweze kusaidiwa kiharaka na ufanikishe unachokitaka kuliko kuja na huu Upupu / Upuuzi wako humu JF? Unafiki ni kitu kibaya mno kwa Binadamu.
 
Kazi ile inafaa kwa wasio muamini Mungu ... kama unaimani na Mungu wako kwa kufuata matendo mema ... hasa msimamao wa amri 10 za Mungu hiyo sio kazi ya kufanya itakupeleka motoni ...

Achana nayo sio kazi nzuri wala haifai ... haina uhuru ... kuna kazi nzuri sana za kizalendo zenye manufaa mpaka kwenye maisha yako baada ya kifo ...
Acha uongo mkuu, idara hii inachukuwa watu wenye vipaji hata ka una kipaji cha kuhubiri au mhubiri kabisa, na kazi yao siyo kuonea watu wala kubambikka kesi kama polisi. Kama zezeta huna mvuto au fani yoyote na siyo muadilifu ni ngumu sana hawa jamaa kukufuata. Cheki mademu wao walivyowazuri lakini kama kuna issue utamtongoza atakukubali ila hutamla hilo sahau. Atahakikisha anatumia kipaji chake kukufanyia usanii hadi apate anachohitaji kwa ajili ya usalama wa Taifa. Baada ya hapo Wazee wa kazi watakuja kukuchukuwa kama kuku wa kideli. Ila akigundua ni mtu safi mtamalizana kiaina na hutajuwa lengo lake.
 
Huwa hatuchukui watu wa aina yako! Usirudie kusema hatuna chuo cha mafunzo! Huwezi ukajua mpaka siku tutakayokuteka ndiyo utaamini kama tuna chuo cha mafunzo!
Hahaha kumbe sifa kuu ni kujua kuteka, mkuu!?
 
Kama umeshindwa kujua kwamba kuna chuo cha mafunzo mpaka hapo huwezi kazi hii.
 
Back
Top Bottom