Mnyanyembe wa Mboka
JF-Expert Member
- Feb 10, 2017
- 2,349
- 3,046
Kazi ile inafaa kwa wasio muamini Mungu ... kama unaimani na Mungu wako kwa kufuata matendo mema ... hasa msimamao wa amri 10 za Mungu hiyo sio kazi ya kufanya itakupeleka motoni ...
Achana nayo sio kazi nzuri wala haifai ... haina uhuru ... kuna kazi nzuri sana za kizalendo zenye manufaa mpaka kwenye maisha yako baada ya kifo ...
Achana nayo sio kazi nzuri wala haifai ... haina uhuru ... kuna kazi nzuri sana za kizalendo zenye manufaa mpaka kwenye maisha yako baada ya kifo ...