Natamani kujiunga na jeshi

Natamani kujiunga na jeshi

Wakuu,
Ninatamani kujiunga na jeshi la Tanzania. Especially JKT au Hata JWTZ. Vigezo kwa wasichana inakuaje??
Msaada tutani
Dah.... Uzuri wa kazi ya jeshi ukiisha ipenda tu utaiweza kirahisi sana...ila ni vizuri zaidi ukaingia na ujuzi mwingine...itakuwa poa sana
 
Sijapitia
Then,you have to...
Ingekua huu Uzi umeuanzisha December last year ningekusaidia kwa kuwa rafiki zangu wawili wamefanikisha kwenda na tayari wameshaanza kozi.
So umechelewa.
But unaweza ingia mwaka huu if you don't mind... Subiri wafungue dirisha la maombi.

Sifa ni uvumilivu,nidhamu,uchapa kazi,linda damu yako,usiwe umetumika mlango wa uani,usiwe na makovu makubwa,utimamu wa akili na mwisho utimamu wa mwili.

I'm done.
 
....maneno ya mkosaji;mademu visu wote wanapigwa mufindi tu kwenye viti vya kunesanesa
..we na msura wako ka sokwe ushajitera;nenda ukapigwe bullet ya kichwa ukafie mbele;
...R.I.P in advance!
Watu waliokata tamaa kama wewe wanapendelea kuwakaTisha tamaa wengine. Kwahyo sababu ulimkuta Dada ako anatoa tako unahisi kila mtu ni mrahisi katika sekta ya uvuaji pichu tena kwa kuwavula wavuta bangi kama wewe??? Sorry u are barking under the wrong tree
 
Watu waliokata tamaa kama wewe wanapendelea kuwakaTisha tamaa wengine. Kwahyo sababu ulimkuta Dada ako anatoa tako unahisi kila mtu ni mrahisi katika sekta ya uvuaji pichu tena kwa kuwavula wavuta bangi kama wewe??? Sorry u are barking under the wrong tree
....hahahahaha..,acha kujipaisha wewe,akukatishe nani tamaa wakati mwenyewe ushajizira tayari!
..wewe hupendi jeshi,sema kitaa kumekaza umeamua kujilipua!
.....nawe leo umekuwa mgumu kuvua chup!,eti!sio wewe kila siku unaanika njaa zako humu ulivyo desperate kuforce kingi kwa wanaume wasio hata na mpango nawe!!?...we ndo walewale tu kina Chausiku-Nitombe-Nikale,tatizo mizungu tu huna!
.....sawa mi mvuta bangi,ukawaambie na ma-MP hivyo hivyo.,sawa sura gumu!?
 
Back
Top Bottom