Rohombaya
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 13,078
- 10,425
Dah.... Uzuri wa kazi ya jeshi ukiisha ipenda tu utaiweza kirahisi sana...ila ni vizuri zaidi ukaingia na ujuzi mwingine...itakuwa poa sanaWakuu,
Ninatamani kujiunga na jeshi la Tanzania. Especially JKT au Hata JWTZ. Vigezo kwa wasichana inakuaje??
Msaada tutani
