donaldson don
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 624
- 416
Kaka ndo wewe hapo kwene deep yako jiandae kuliwa kila siku jeshini hata paredi we hutohusika
Kwahyo Kama mm n msichana niulize kuingia jeshini kwa wakaka?? It can't holds water. We Kama huna la Ku comment chukua time lala mbeleUsiwe mtu wa kupenda sana upendeleo kwa sababu ya jinsia yako, utaumia! Kama unahitaji kitu kifatilie kwa nguvu na akili zako zote sio kutegemea jinsia, utaumia... Nasema utaumia!
Sio ishu sana, nimekupa ushauri utakaokusaidia!Kwahyo Kama mm n msichana niulize kuingia jeshini kwa wakaka?? It can't holds water. We Kama huna la Ku comment chukua time lala mbele
Na mm nmekupa jibu litakalokufanya ufikiri kabla ya kuandika usilolijua. Next time jus take some water and save your breath if think u about to write some trash on serious things.Sio ishu sana, nimekupa ushauri utakaokusaidia!
Kama utaupuuza haya!
Sawa mamaNa mm nmekupa jibu litakalokufanya ufikiri kabla ya kuandika usilolijua. Next time jus take some water and save your breath if think u about to write some trash on serious things.
Send your pic to me.
I'm Colonel and HR officer in JWTZ
Of course I need sex first.
anataka jeshi co kutoa mbwaa.....utamuweza!?..,demu mpaka anatamani jeshi ujue kashajizira!!Achana na jeshi njoo tutengenize family mama
Thubutuuuuu hata kwa dawa,,,, hayo mazoezi yao ni hatari sana,,Wakuu,
Ninatamani kujiunga na jeshi la Tanzania. Especially JKT au Hata JWTZ. Vigezo kwa wasichana inakuaje??
Msaada tutani
.....teh hee hee..hakunaga mwanajeshi wa hivi;Jeshi nako n kazi Kama zingine. Hakuna cha kujizira wala kujichoka. Upo nyonyo?