Unamke? Njoo PM fasta tukabidhiane kabla haujafa
A brilliant girl.Ukitaka ufanikiwe kwanza elewana na mzazi.
Baraka zetu zipo chini ya nyayo za mama zetu(waswahili wanasema)
Really.Rudi kamuombe mama msamaha na kuhusu hela hauioni mkuu punguza pombe na matumizi yasiyo ya lazima hela yako utaiona ila kayajenge na mzazi wako
Midhali umetafakari ukafikia hatua ya kuomba ushauri tayari umegundua njia unaliopita awali haikuwa sahihi, mama ni mtu muhimu sana katika muongozo wa maisha yako, rudi kwa mama mpigie magoti muombe radhi atakusameh, weka nia ya dhati kuacha pombe haina faida kwako, Mtangulize Mungu kwakila jambo lako atakusaidia na utafanikiwa, ikiwa utajiuwa utamkosea Muumba wako na mama yako utamuacha katika maumivu makali yasiyo na mfano.Habari Wana JF, Kama Heading Inavyosomeka Hapo Juu, Mimi Ni Kijana wa Miaka 29, Nimeajiriwa, Kazi Imenitenganisha Na Familia,( Mzazi Mmoja ambaye Ni Mama, Maana Baba Alifariki Kipindi Nikiwa Mdogo, Nimekua Mlevi Kupindukia, Simu Sipigi Nyumbani, Hela Siioni Inakoelekea, Mama Sina Mahusiano Nae Mazuri, Mahusiano Yangu Hayaeleweki.
Misuko Suko Kibao, Ajali Haziishi, Sioni Wapi Naelekea, Asubuhi ya Leo Wakati Natoka Club , Nikiwa Na Mwanamke Niliempata Huko, Nimepata Ajali Mbaya Sana, Nimepata Majeraha Madogo Tu, Ila Gari Imeumia Sana, Na Kwa Vile Nilikua Nimelewa, Nikampigia GF Wangu Akaja Kushughulikia Kuivuta Gari, Mimi Na Yule Mwanamke Tukawa Tumeshaondoka, Hata Sikufikiria Kama Nitakutwa.
Mbaya Zaidi Nikafumaniwa Na Yule Mwanamke, Ilikua Aibu tupu Mtaani, Naona Siheshimiki Tena, Nyumba Ninayoishi Ni Ofisi Nipo Na Baadhi ya Staff Wenzangu wapo Na Familia Zao, Sijatoka Nje Siku Nzima ya Leo, Kilicho Kichwani Kwangu Ni Kujiua Tu, Sitamani Tena Kuishi, WHY ALWAYS ME? Nimemkosea Nini Mungu, Najua Natenda Dhambi, Ila Niende Huko Labda Nitapumzika. Samahanini Kwa Maelezo Yangu Marefu
Ila Hili Lipo Moyoni Mwangu na Lazima Nilitekeze, Napokea Maoni Yenu Wadau, NAKOSEA WAPI?
There you're.Jishushe , mama ni mama siku zote.
Jifanye mjinga jenga mahusiano mazuri na ulowakosea. Ni hayo tu. Pia ningekushauri uache pombe.
Asipoelewa hapa ndo basi tenaMtu wa kujiua huwa hatangazi...bali huchukua maamuzi ya kuibeba DHAMBI HIYO KUBWA.
Anyway, it is obvious bado unahitaji kuishi.Kama NDIYO, napenda nikushauri yafuatayo;
1.Rudi kwa mola wako kwa kutubia makosa yako.
2.Rudi nyumbani ukakutane na mama yako ili umuombe msamaha ili upate radhi za mama.Kumbuka, pepo yako iko chini ya nyayo zake.
3.Tafuta mchumba mwenye akili ya maisha ili muanze maisha mapya ya bwana na bibi ili muijenge familia yenye upendo.
4.Jilazimishe kutoa sadaka.
5.YATEKELEZE HAYA YOTE KUANZIA 1-5.
Alamsiki.
Asante kwa kuliona hilo.You're a brilliant woman.Asipoelewa hapa ndo basi tena
Thank you betterhalfAsante kwa kuliona hilo.You're a brilliant woman.
Kushukuru nako kunaonesha how brilliant you're...!Thank you betterhalf
Haahahah una masiharaKushukuru nako kunaonesha how brilliant you're...!
Hapana Jolie...siyo masikhara.Wengine hawawezi hata kusema ahsante iwe kwa ubaya ama kwa uzuri.Haahahah una masihara
Ni kweli si unajua binadamu ni kama vidole tu?HatufananiHapana Jolie...siyo masikhara.Wengine hawawezi hata kusema ahsante iwe kwa ubaya ama kwa uzuri.
Thanks dear tuko pamojaAsante kwaniaba yake nimependa ushaur wako