Hahahaaaaa, ntamuuliza halafu ntakupm shost.
Halafu tutapika nini msibani, pilau au wali mweupeeee? Nimemiss msosi wa shughuli.....!
Usijali shem, hawatofikia huko... mie na ugomvi mbali mbali... nafurahisha baraza tu hapa...
mods enough is enouh ondoeni hii kitu jamani
Hahahahahahhahahahahaaha ntakupm picha yangu huyu eve nlisom nae anaishi kwa shangazi yake mbagala rangi 3 anajiuza kimboka sy typ yangu anapenda kujilinganisha na mie tell her to stay back wth me!
Pilauuu la nyamaa na kachumbarii si unajuaa msosi wa kwenye shughuli balaaa usisahau kuja na mayonaise aiseee
mods enough is enouh ondoeni hii kitu jamani
hii ndio njia ya kuwasiliana na mods?
Hebu nipm namba yakee mbonaa anaishii Mwanzaa huko mbagala kafikajeee au wapo Eve wawiliiii etiiii
njoo bas tukae wote hapa tuchungulie mwisho wa huu mtanange. Si ulisema utanifundisha umbbea?? Hahahahaaa
Parapandaaa italiaaa parapandaa italiaaaa naee omukagamee atakua keshanyakuliwaaa kwenda jehanamu ....
Coz ya eve sijiui mchumba simuachi nataka apelekwe milembe coz anataka kuchanganyikiwa kisa mkaka wa watu!ntamuacha nkipeda nmesitisha kwanza ila hanioiUsijali shosti, halafu ngoja nimuulize anataka tuvae madera ya rangi gani.....!
Eti Da' umukagame tuvae madera ya rangi gani msibani?
hii ndio njia ya kuwasiliana na mods?
mods enough is enouh ondoeni hii kitu jamani
Coz ya eve sijiui mchumba simuachi nataka apelekwe milembe coz anataka kuchanganyikiwa kisa mkaka wa watu!ntamuacha nkipeda nmesitisha kwanza ila hanioi