natamani kuacha haka kamchezo lakin nashindwa!!

natamani kuacha haka kamchezo lakin nashindwa!!

cantonna

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2013
Posts
1,120
Reaction score
439
kiukweli napiga punyeto kupita kiasi kwa siku mara nne hadi tano natamani sana kuacha hii kitu lakin nashindwa kabisa na nnajuta kwann nilijifunza hii kitu.jaman kama kuna mbinu yoyote nawezatumia ili niachane na hii kitu naomba nambieni wana jf..!
 
Tafuta kitu kilichokufanya uanze ndo udil nacho!! Usipende kua idle au mazingira ambayo ni shawishi..acha kuchek porno....ukiwa huna la kufanya bora ufanye mazoez!!! Mweshimiwa MziziMkavu wap upo!??
 
Last edited by a moderator:
Na lazima ujue kwa rate yako( na hata kama ingekua ni punguf) ya 4 per day utajuja juta baadae.....
 
wewe nilijaribu iyo kitu ni tam ila ina madhara.... Jaribu kuwa na mke yaani uoe na usiwazewaze iyo kitu nadhani utaichukia
 
watoto wadogo mnaiga vitu ambavyo hamjui faida yake mjinga ww wakati unaanza mbona hukuomba ushauri
 
yaani unafanya ujinga huo baada ya kusoma? shule zimefungwa kipindi hiki kwa nini usitafute tuisheni?
 
Ndo maana wanakunyima papuchi zao unabakia kujikamua! Sasa hapa kiungo kitukufu kimekukosea nini hadi ukitaje? Unahitaji utulivu wa akili wewe.

kiukweli jamaa kanikera sana coz mi naomba ushauri afu ye anazingua!
 
tafuta demu ambae atakuwa anakupa ukitaka thn usitumie mda. mwingi kuoga piga fasta tuo
 
Back
Top Bottom