natamani kuacha haka kamchezo lakin nashindwa!!

natamani kuacha haka kamchezo lakin nashindwa!!

yaani unafanya ujinga huo baada ya kusoma? shule zimefungwa kipindi hiki kwa nini usitafute tuisheni?
Mkuu ni badala sio baada, hapo unamaanisha anafanya ujinga huo tu anapotoka kusoma shuleni
 
kiukweli napiga punyeto kupita kiasi kwa siku mara nne hadi tano natamani sana kuacha hii kitu lakin nashindwa kabisa na nnajuta kwann nilijifunza hii kitu.jaman kama kuna mbinu yoyote nawezatumia ili niachane na hii kitu naomba nambieni wana jf..!

oa ndiyo hatua ya kwanza........................kama bado soma Biblia Takatifu na kuitafakari usiku na mchana hicho ndicho kiboko ya yote.
 
kiukweli napiga punyeto kupita kiasi kwa siku mara nne hadi tano natamani sana kuacha hii kitu lakin nashindwa kabisa na nnajuta kwann nilijifunza hii kitu.jaman kama kuna mbinu yoyote nawezatumia ili niachane na hii kitu naomba nambieni wana jf..!

kasome article kule Jukwaa la MK ya mzizimkavu utapona mkuna kama huna access contact invisible chengine ukiamua kuacha unaacha ila unajiendekeza men..
 
kum¤ wee!

Kione kwanza!!Ndo mana umekondeana kwa sababu ya kamchezo kako kachafu ndo mana na doo lako chafu!!Hebu taja umri wako na useme matokeo yako baada ya Wizara ya Elimu kuwaboost (im sure wewe umemaliza form 4 mwaka jana wewe na humu JF UMEVAMIA TU!
Join Date : 11th March 2013

Posts : 68
Rep Power : 327

Likes Received3
Likes Given1
 
kiukweli jamaa kanikera sana coz mi naomba ushauri afu ye anazingua!
Kwa hiyo hiko kiungo ulipokitaja kimekuondoshea hasira?
Jifunze kuheshimu wanawake tatizo lako litapata tiba.
 
huna hela na swaga huna? acha kabisa kuangalia porn hicho ndio chanzo kikuu cha nyeto.
 
Kwa hiyo hiko kiungo ulipokitaja kimekuondoshea hasira?
Jifunze kuheshimu wanawake tatizo lako litapata tiba.

ni hasira tu kweli huy binadam kanikera sana!samahani kwa hilo!!
 
Kione kwanza!!Ndo mana umekondeana kwa sababu ya kamchezo kako kachafu ndo mana na doo lako chafu!! kiukweli kauli zako ndo zimefanya niandike hivyo coz ni hasira tu mkuu.SAMAHAN KWA HILO MKUU....!
 
Back
Top Bottom