Natamani kila mwana JF asome vitabu hivi viwili, ni zaidi ya degree ya saikolojia

Natamani kila mwana JF asome vitabu hivi viwili, ni zaidi ya degree ya saikolojia

OMOYOGWANE

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2016
Posts
5,139
Reaction score
12,882
Aisee nyiee!!

Huu mwaka nimejikuta nasoma vitabu viwili vya zamani ambavyo naamini kila mtu amewahi kuvisoma, lakini hivi vitabu ukisoma neno kwa neno, mstari kwa mstari, ukisoma kwa kutafakari na kuhusianisha na maisha halisi ya mtaani hskika utagundua mambo mengi yakushangaza sana
1274.jpg


Cha pili ni hiki hapa chini
4865.jpg



Hatimaye nimewaelewa wanawake yaani nashindwa hata niseme nini wakuu

Hatimaye nimefungua code ambazo zilinishinda kwa miaka mingi kuzifungua, nmesoma sana lundo la vitabu mbali mbali ila hivi viwili ni moto wa kuotea mbali


Yaani sasa hivi naishi kwa raha sana 😆

Hii dunia hii jamani acheni tu dah! Hata machawa kumbe sio wajinga wanaishi na kula vizuri kuna siri kubwa ktk hivi vitabu viwili ukisoma utaelewa kwa undani


Mwenye maacho na asome, mwenye bando na afaidike

Muwe na wakati mwema wakuu na nawatakia mafanikio mema popote mlipo baada ya kusoma vitabu hivi

Ahsanteni
 
Aisee nyiee!!

Huu mwaka nimejikuta nasoma vitabu viwili vya zamani ambavyo naamini kila mtu amewahi kuvisoma, lakini hivi vitabu ukisoma neno kwa neno, mstari kwa mstari, ukisoma kwa kutafakari na kuhusianisha na maisha halisi ya mtaani hskika utagundua mambo mengi yakushangaza sana
View attachment 3318711

Cha pili ni hiki hapa chini
View attachment 3318713


Hatimaye nimewaelewa wanawake yaani nashindwa hata niseme nini wakuu

Hatimaye nimefungua code ambazo zilinishinda kwa miaka mingi kuzifungua, nmesoma sana lundo la vitabu mbali mbali ila hivi viwili ni moto wa kuotea mbali


Yaani sasa hivi naishi kwa raha sana 😆

Hii dunia hii jamani acheni tu dah! Hata machawa kumbe sio wajinga wanaishi na kula vizuri kuna siri kubwa ktk hivi vitabu viwili ukisoma utaelewa kwa undani


Mwenye maacho na asome, mwenye bando na afaidike

Muwe na wakati mwema wakuu na nawatakia mafanikio mema popote mlipo baada ya kusoma vitabu hivi

Ahsanteni
No reform no election
 
Aisee nyiee!!

Huu mwaka nimejikuta nasoma vitabu viwili vya zamani ambavyo naamini kila mtu amewahi kuvisoma, lakini hivi vitabu ukisoma neno kwa neno, mstari kwa mstari, ukisoma kwa kutafakari na kuhusianisha na maisha halisi ya mtaani hskika utagundua mambo mengi yakushangaza sana
View attachment 3318711

Cha pili ni hiki hapa chini
View attachment 3318713


Hatimaye nimewaelewa wanawake yaani nashindwa hata niseme nini wakuu

Hatimaye nimefungua code ambazo zilinishinda kwa miaka mingi kuzifungua, nmesoma sana lundo la vitabu mbali mbali ila hivi viwili ni moto wa kuotea mbali


Yaani sasa hivi naishi kwa raha sana 😆

Hii dunia hii jamani acheni tu dah! Hata machawa kumbe sio wajinga wanaishi na kula vizuri kuna siri kubwa ktk hivi vitabu viwili ukisoma utaelewa kwa undani


Mwenye maacho na asome, mwenye bando na afaidike

Muwe na wakati mwema wakuu na nawatakia mafanikio mema popote mlipo baada ya kusoma vitabu hivi

Ahsanteni
Ntavitafuta
 
Aisee nyiee!!

Huu mwaka nimejikuta nasoma vitabu viwili vya zamani ambavyo naamini kila mtu amewahi kuvisoma, lakini hivi vitabu ukisoma neno kwa neno, mstari kwa mstari, ukisoma kwa kutafakari na kuhusianisha na maisha halisi ya mtaani hskika utagundua mambo mengi yakushangaza sana
View attachment 3318711

Cha pili ni hiki hapa chini
View attachment 3318713


Hatimaye nimewaelewa wanawake yaani nashindwa hata niseme nini wakuu

Hatimaye nimefungua code ambazo zilinishinda kwa miaka mingi kuzifungua, nmesoma sana lundo la vitabu mbali mbali ila hivi viwili ni moto wa kuotea mbali


Yaani sasa hivi naishi kwa raha sana 😆

Hii dunia hii jamani acheni tu dah! Hata machawa kumbe sio wajinga wanaishi na kula vizuri kuna siri kubwa ktk hivi vitabu viwili ukisoma utaelewa kwa undani


Mwenye maacho na asome, mwenye bando na afaidike

Muwe na wakati mwema wakuu na nawatakia mafanikio mema popote mlipo baada ya kusoma vitabu hivi

Ahsanteni
Mimi nimesoma hicho cha pili. Habari za Chawa mle hakuna. Rudia kusoma tena. Chawa ni wanafiki, waongo na wazushi.
Kitabu cha How to win Friends and Influence People kina himiza na kutoa mbinu mbalimbali kwa
watu jinsi ya kutengeneza marafiki na kuwa influence kwa nia njema. Sio kwa unafiki na uongo na umbeya kama wafanyavyo Machawa.
 
Cha pili nimekisoma. Ku implement very hard
Kuna mdau aliketa uzi humu akihoji kwanini mwanamke akiyehobgwa gali na mwanaume analika kirahisi na jamaa aliyemzibia pancha ya tairi

Why why why?

Soma kitabu cha kwanza utapata majibu
 
  • Thanks
Reactions: K11
Pia soma dark psychology utajua mengi kuhusu Mwamposa
Nmesoma sana Dark psychology mpaka vitabu vya neuroscience, psychology , sociology hadi body language, nkahamia kwa Rolo Thomas lakini wapi


Vitabu ambavyo naona kabisa vinaimpact kwenye maisha yangu tena kwa kasi ya kimbunga ni hivyo viwili


Hiyo ndio misahafu yangu

Ahsante
 
Aisee nyiee!!

Huu mwaka nimejikuta nasoma vitabu viwili vya zamani ambavyo naamini kila mtu amewahi kuvisoma, lakini hivi vitabu ukisoma neno kwa neno, mstari kwa mstari, ukisoma kwa kutafakari na kuhusianisha na maisha halisi ya mtaani hskika utagundua mambo mengi yakushangaza sana
View attachment 3318711

Cha pili ni hiki hapa chini
View attachment 3318713


Hatimaye nimewaelewa wanawake yaani nashindwa hata niseme nini wakuu

Hatimaye nimefungua code ambazo zilinishinda kwa miaka mingi kuzifungua, nmesoma sana lundo la vitabu mbali mbali ila hivi viwili ni moto wa kuotea mbali


Yaani sasa hivi naishi kwa raha sana 😆

Hii dunia hii jamani acheni tu dah! Hata machawa kumbe sio wajinga wanaishi na kula vizuri kuna siri kubwa ktk hivi vitabu viwili ukisoma utaelewa kwa undani


Mwenye maacho na asome, mwenye bando na afaidike

Muwe na wakati mwema wakuu na nawatakia mafanikio mema popote mlipo baada ya kusoma vitabu hivi

Ahsanteni
Naomba soft copy ya vitabu hivyo
 
Naomba soft copy ya vitabu hivyo
Search hapa Jf Kuna Uzi una vitabu vingi sana.

Eg.
Andika ivi.. VITABU VILIVYO BADILI MAISHA YAKO JAMII FORUM.

Zitakuja nyuzi nyingi sanaa so wewe ni kujipakulia.
 
Sijasoma hivyo vitabu ila hakika ni vizuri sana, nimepata maarifa mengi sana kupitia hvy vitabu.
 
Back
Top Bottom