Natamani kamati kuu ya CHADEMA itoke na haya

Natamani kamati kuu ya CHADEMA itoke na haya

Joined
Dec 11, 2010
Posts
3,321
Reaction score
6,331
1. Wam-take Jk asitishe ujenzi wa bandari Bagamoyo na ujenzi uhamishiwe Mtwara.

2. Mitambo ya gesi na miundo mbinu ijengwe Mtwara na wazo la kufanya kila kitu Dar es salaam likome (Dhana ya majimbo ndio mujarabu)

3. Washinikize kwa nguvu ya umma wana- Mtwara wajibiwe hoja zao na si kutishwa au eneo la Mtwara kuwa chini ya ulinzi.

3. M4C ianze kwa kasi ya ajabu na timu zipangwe kwa kanda kama alivyo shauri mdau mmoja hapa hapa JF.

5. Viongozi/kiongozi yoyote aliye gundulika kwa ushahidi usio kuwa na shaka kuwa anahujumu kwa namna yoyote harakati za chama kumkomboa Mtanzania 2015 achukuliwe hatua kali za kinidhamu naza kiuongozi hata ikibidi kufukuzwa.

6. Matatizo ya kubakwa na kuibiwa wanachuo wa vyuo vikuu nayo yapewe kipau mbele. Viongozi wa chadema kwenye mikoa husika wapewe agizo la kwenda kuwafariji wanafunzi hao na kushauri hatua za kuchukua.
 
Raisi wako amelewa madaraka hatosikia hata la malaika.:A S-cry::A S-cry:
 
Stay tuned! Mengi yatatekelezwa kama ulivyoyaainisha....
 
1. Wam-take Jk asitishe ujenzi wa bandari Bagamoyo na ujenzi uhamishiwe Mtwara.

2. Mitambo ya gesi na miundo mbinu ijengwe Mtwara na wazo la kufanya kila kitu Dar es salaam likome (Dhana ya majimbo ndio mujarabu)

3. Washinikize kwa nguvu ya umma wana- Mtwara wajibiwe hoja zao na si kutishwa au eneo la Mtwara kuwa chini ya ulinzi.

3. M4C ianze kwa kasi ya ajabu na timu zipangwe kwa kanda kama alivyo shauri mdau mmoja hapa hapa JF.

5. Viongozi/kiongozi yoyote aliye gundulika kwa ushahidi usio kuwa na shaka kuwa anahujumu kwa namna yoyote harakati za chama kumkomboa Mtanzania 2015 achukuliwe hatua kali za kinidhamu naza kiuongozi hata ikibidi kufukuzwa.

6. Matatizo ya kubakwa na kuibiwa wanachuo wa vyuo vikuu nayo yapewe kipau mbele. Viongozi wa chadema kwenye mikoa husika wapewe agizo la kwenda kuwafariji wanafunzi hao na kushauri hatua za kuchukua.


Umesahau kitu kimoja.
Waweke interest kwa wale wote wanaokopa pesa za michango ya M4C na ruzuku.
 
1. Wam-take jk asitishe ujenzi wa bandari bagamoyo na ujenzi uhamishiwe mtwara.

2. Mitambo ya gesi na miundo mbinu ijengwe mtwara na wazo la kufanya kila kitu dar es salaam likome (dhana ya majimbo ndio mujarabu)

3. Washinikize kwa nguvu ya umma wana- mtwara wajibiwe hoja zao na si kutishwa au eneo la mtwara kuwa chini ya ulinzi.

3. M4c ianze kwa kasi ya ajabu na timu zipangwe kwa kanda kama alivyo shauri mdau mmoja hapa hapa jf.

5. Viongozi/kiongozi yoyote aliye gundulika kwa ushahidi usio kuwa na shaka kuwa anahujumu kwa namna yoyote harakati za chama kumkomboa mtanzania 2015 achukuliwe hatua kali za kinidhamu naza kiuongozi hata ikibidi kufukuzwa.

6. Matatizo ya kubakwa na kuibiwa wanachuo wa vyuo vikuu nayo yapewe kipau mbele. Viongozi wa chadema kwenye mikoa husika wapewe agizo la kwenda kuwafariji wanafunzi hao na kushauri hatua za kuchukua.
brilliant.brilliant brilliant. Brilliant
 
1. Wam-take Jk asitishe ujenzi wa bandari Bagamoyo na ujenzi uhamishiwe Mtwara.

2. Mitambo ya gesi na miundo mbinu ijengwe Mtwara na wazo la kufanya kila kitu Dar es salaam likome (Dhana ya majimbo ndio mujarabu)

3. Washinikize kwa nguvu ya umma wana- Mtwara wajibiwe hoja zao na si kutishwa au eneo la Mtwara kuwa chini ya ulinzi.

3. M4C ianze kwa kasi ya ajabu na timu zipangwe kwa kanda kama alivyo shauri mdau mmoja hapa hapa JF.

5. Viongozi/kiongozi yoyote aliye gundulika kwa ushahidi usio kuwa na shaka kuwa anahujumu kwa namna yoyote harakati za chama kumkomboa Mtanzania 2015 achukuliwe hatua kali za kinidhamu naza kiuongozi hata ikibidi kufukuzwa.

6. Matatizo ya kubakwa na kuibiwa wanachuo wa vyuo vikuu nayo yapewe kipau mbele. Viongozi wa chadema kwenye mikoa husika wapewe agizo la kwenda kuwafariji wanafunzi hao na kushauri hatua za kuchukua.

Kwa kuwa CDM haina historia ya kuogopa maamuzi magumu naamini watatekeleza hapo penye red bila shida endapo watajiridhisha na ushahidi.
 
natamani watutangazie umma tuingie barabarani, mda uliobaki kwa huyu mtalii ni mrefu sana aisee....
 
Atabadirika tu kwa jinsi watu wanavyo zidi kuelewa na kutambua haki zao.

Kamanda Mohamedi Mtoi nakubaliana kabisa na mtazamo wako.
Ninachoamini mimi ni kwamba kikwete hawezi kubadilika bila kupatiwa shinikizo kubwa. Na shinikizo hilo lazima litoke kwa wananchi wenyewe kwa kuunganisha nguvu bila kujali itikadi zao za kisiasa, bali wazingatie maslahi yao kwa ujumla.

Bila shaka matarajio yetu ni kuona baraza kuu linatoka na mipango mikakati madhubuti kwa ajili ya kuwawezesha watanzania kujitambua na kuwa tayari kusimamia na kupigania maslahi yao bila kuogopa vitisho vya vyombo vya dola ama waziri yeyote.
 
Last edited by a moderator:
Hakuna jipya hapo,eti kuwafajiri wanachuo, waanze kujifariji wao wanaoendesha chama kwa kujitolea wakati wakubwa wanajikopesha mamilion makao makuu...
 
Hakuna jipya hapo,eti kuwafajiri wanachuo, waanze kujifariji wao wanaoendesha chama kwa kujitolea wakati wakubwa wanajikopesha mamilion makao makuu...

Mkuu.
Naona umetafuta pa kusimamia ili angalau uchangie! Mtajibeba mwaka huu!
 
1. Wam-take Jk asitishe ujenzi wa bandari Bagamoyo na ujenzi uhamishiwe Mtwara.

2. Mitambo ya gesi na miundo mbinu ijengwe Mtwara na wazo la kufanya kila kitu Dar es salaam likome (Dhana ya majimbo ndio mujarabu)

3. Washinikize kwa nguvu ya umma wana- Mtwara wajibiwe hoja zao na si kutishwa au eneo la Mtwara kuwa chini ya ulinzi.

3. M4C ianze kwa kasi ya ajabu na timu zipangwe kwa kanda kama alivyo shauri mdau mmoja hapa hapa JF.

5. Viongozi/kiongozi yoyote aliye gundulika kwa ushahidi usio kuwa na shaka kuwa anahujumu kwa namna yoyote harakati za chama kumkomboa Mtanzania 2015 achukuliwe hatua kali za kinidhamu naza kiuongozi hata ikibidi kufukuzwa.

6. Matatizo ya kubakwa na kuibiwa wanachuo wa vyuo vikuu nayo yapewe kipau mbele. Viongozi wa chadema kwenye mikoa husika wapewe agizo la kwenda kuwafariji wanafunzi hao na kushauri hatua za kuchukua.


Wakija na hoja za msingi kama hizi tu utasikia baadhi ya vyama vya siasa vinachochea vurugu awakitaji jina ila wanakuwa wanakisema CHADEMA hapo
 
Wakija na hoja za msingi kama hizi tu utasikia baadhi ya vyama vya siasa vinachochea vurugu awakitaji jina ila wanakuwa wanakisema CHADEMA hapo

Kwa ccm vurugu au uchochezi kusema vitu ambavyo utakuwa kinyume nao! Yaani kama sasa hivi ukisema kuna ombwe la kiungozi kwenye serikali na nchi kwa ujumla ambalo lina sababisha machafuko kwa kukosekana majibu mujarabu kwenye baadhi ya hoja. Unaambiwa wewe ni MU-CHOCHEZI!
 
Back
Top Bottom