Valentina
R I P
- Oct 12, 2013
- 24,688
- 28,834
He hee subiri utakutana nayo hiiteh teh ....
Ya kweli hayo??
He hee subiri utakutana nayo hiiteh teh ....
Ya kweli hayo??
ningejifunzia kwako buanaHe hee subiri utakutana nayo hii

Uthubutu wa kunitongoza wakati ule haukuwa nao sana sana uliishia kunitumia picha yako ukiwa kwenye party na Heineken yako mezani.... (hegehee) halafu kuonesha kuwa ndo umemaliza kunitongoza ukanitumia na dedication wimbo wa Whitney Houston wa "I love you" atii nisikilize huo wimbo maneno yake ndo unanitongoza hehehehehe. .......Kweli wakati ukuta. Ulikuwa yankii very young.
Ati leo unaitwa baba Kisura 😀😀
Weeeee ishia apo aponingejifunzia kwako buana![]()
sorry.... don't take it serious,was just kiddingWeeeee ishia apo apo
Utakuwa umechanganya madesa.
Mi si mpenzi wa Whitney Houston na sijawahi kukutumia huo wimbo achilia mbali kuujua.
Umenichanganya na nani we Kasinde?
Ntakupiga..
I know.... No need to worrysorry.... don't take it serious,was just kidding
Hahahahahahahaa toka yarabiiii...... hapo kwenye dedication nafuta. ... halafu weka wimbo wako ule unaupenda ulee the best hehehehh
Ntakuwa nilichanganya na msg iliyoenda kwa Maria ........... (ole wako...........)
Ukijaribu kunipiga tuu nakimbia mbioooo kisha najificha hata unitafute hunioni ng'oo heheheh
Kasie.
I know.... No need to worry

Unaona sasa...ndo matatizo ya mchepuko kuwa na mchepuko mwingine.
Wewe ni kichapo to ndo kinakuhusu.
Na huwezi kunishinda mbio.
Unaona sasa...ndo matatizo ya mchepuko kuwa na mchepuko mwingine.
Wewe ni kichapo to ndo kinakuhusu.
Na huwezi kunishinda mbio.
Hahahahaaa kumbe kwenu Iringa. ..... siku zote hizo mie niko na mfuga ng'ombe (cowboy.....bulls) kumbe mnyalukolo Hehehehehehehehehehehehehehehehehee ngoja niongeze mbio maana nakuona unaokota fimbo.na manati. Najificha hunioni hahahahahahahahahahaaaa
Mambo mnyaluu hahahahhahah Monkey Mnyalu. .... kuanzia leo ntakuwa nakutia monkey mnyalu.
Yaani ujue kumchapa Kasie sio kazi ndogo....jasho litakuwa limekutoka hadi la ulimi. Hahahahahhaa mnyaluu mie ntakuletea ile zawadi yenu ilee .........
Kasie.
You are something else.
😀😀.
Hahahaha..umenikumbusha, eti mmeshafika getto, unamshikashika na kumvua lakini utasikia maswali ya "hivi unafanya nini", "kwani unataka kufanya nini"...nilikuwa najibu tu kuwa nataka kupeleka "discovery" huko space hivyo asubiri tu ataonaDaaahh kweli bongo kwa ektin tu kiboko!demu unaweza kufika nae hadi geto ukimvua anauliza unataka kufanya nn?!hehehe ndo mana wanawake wengi huku bongo anaweza kukupenda na asiseme hadi mapenzi yanaexpire ndo anakuja kukwambia nilikuwa nakupenda sana!heheheh

Ooh yeah... I am Kasie James Jeddah
And now on you are Monkey Mnyalu hehehehheh
Hahahahaaa kumbe kwenu Iringa. ..... siku zote hizo mie najua niko na mfuga ng'ombe (cowboy.....bulls) kumbe mnyalukolo Hehehehehehehehehehehehehehehehehee ngoja niongeze mbio maana nakuona unaokota fimbo.na manati. Najificha hunioni hahahahahahahahahahaaaa
Mambo mnyaluu hahahahhahah Monkey Mnyalu. .... kuanzia leo ntakuwa nakutia monkey mnyalu.
Yaani ujue kumchapa Kasie sio kazi ndogo....jasho litakuwa limekutoka hadi la ulimi. Hahahahahhaa mnyaluu weeh ntakuletea ile zawadi yenu ilee .........
Kasie.
Mkuu unaongea uko serious au unatania
Wana dizaini yao na wenyewe yaani unapita nae fasta bin vuu!Yaani najihisi nilishakubuhu kwenye hizi papuchiWengine wanamambo ya kitoto, Usiombe kukutana nao, utajutraaa