Nataka Unitongoze

Status
Not open for further replies.
Kutongoza ndo kukoje kwani? Ni lazima useme maneno gani? Maana huenda hiyo sehemu ya mchezo mi bado sijaijua.

Huo mchezo hauhitaji hasira, hauhitaji papara, hauhitaji kushangaa hauhitaji mtu asiyejua......

Huo mchezo unahitaji ujanja, ujuzi na kubambana tuu...... mbaa mbaaa ila usibake tuu hehehehee (simoooooo)

With all dual respect........... mtongozo kwa mdada una sukari yake atii japo haifikii sukari ya rungu😉!!

Kasie.
 

Hivi wewe nilikutongozaga au ulijileta mwenyewe?
 
Fafanua tafadhali..sijakupata hapo.
Kwenye sex for love mwanamke anampenda sana au kumtamani mwanaume anayejiamini au naweza sema a bolded man. Na pia hupendezwa na sauti ya kiume wakati wa kutongozwa tena kama na wewe ni mtundu kama mimi unatakiwa uitoe sauti yako yote na uzito wake na unakuwa kama unamnong'oneza tena inakuwa ni ya kimahaba na ukimtamkia maneno machafu na uchafu wote unaotaka ukamfanyie.Hapa wanawake wa dizaini kama huyo huanza kuwaka ashki na kufall in love kabla hata hujamuingizia na utapendeza zaidi ukionekana unachomwambia ndicho unacho maanisha.Sasa alitaka umpatie kwanza vitu hivi kabla hajaenda kukuvulia chupi na alikutegemea utafit kwa 100%.
 
Inaelekea aliona unamletea Mapicha Picha hakuelewi...itakua katoto hako
 
Miss chagga hii paragraph yako lazima nikaifanyie kazi....aisee hapo siwezi toka kapa lazima mtu aingie kingi.
 
Hili ndo Tatizo la kuishi muda mrefu ktk nchi za kishenzi zilizolaaniwa na Mungu.
 
Halafu anaongezea kuwa, nilikupenda sema tu ulinipotezea. Hapo ukute ushafanya juhudi zote na kumaliza sarakasi mpaka za akiba katika kumfuatilia na yeye kukwambia hakutaki. Halafu baada ya miaka,ukiwa umeoa ndio unasikia kauli za kikuda kama hizo.
 
That's so stupid, though.

I mean, this whole entire time you've seen me ogling you but you wanna play dumb and act like you don't know what time it is?

Ain't nobody got time for that.
The best move you have to make when she acts dumb like that,is to play even dumber. Pretend she misinterpreted your actions and ignore her. I hate child play when it comes to serious matters!
 
Valley she is lucky to have you your love to me is like a Wonder
your Thoughts make me Ponder
Clueless I find myself when I think about you
Best time pass for me is to Wonder about You....

Napenda vile unanisurprise kila siku dume langu la kisukuma
 
Hivi wewe nilikutongozaga au ulijileta mwenyewe?

Uthubutu wa kunitongoza wakati ule haukuwa nao sana sana uliishia kunitumia picha yako ukiwa kwenye party na Heineken yako mezani.... (hegehee) halafu kuonesha kuwa ndo umemaliza kunitongoza ukanitumia na dedication wimbo wa Whitney Houston wa "I love you" atii nisikilize huo wimbo maneno yake ndo unanitongoza hehehehehe. .......Kweli wakati ukuta. Ulikuwa yankii very young.
Ati leo unaitwa baba Kisura 😀😀
 
hahaha
 
Miss Chagga ulipotelea wapi
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…