Nataka Unitongoze

Nataka Unitongoze

Status
Not open for further replies.
jamani fanyeni kazi jamani....mda wote mnawaza papuchi tu? mda wa kazi huu...ndomana zinapanda bei kila kukicha, madem wanapandisha bei,,,saa moja usiku angalau ndo tujadiri papuchi
Kazi za kufanya ziko wapi wakati meli hazileti mizigo bandarini?
Basi leta mahindi tupukuchue...
 
Kweli mapenzi nayo bila uongo uongo hayaendi.

Wakati mwingine kijitu hata kama hukipendi unakiambia unakipenda ili mradi tu.

Laiti tungekuwa na uwezo wa kuona yaliyomo mioyoni na vichwani mwa watu kuhusu mapenzi, sijui hii dunia ingekuwaje.
Ingekuwa si sehemu salama
 
Mi mwenyewe nasubiri Kiranga anitongoze apa
Let's take a trip to Jamaica, go to London see double deckers
Get away from all the fakers, go mingle with money makes
Baby you're fly, when I'm with you I don't wanna say bye
No lie, you don't need another guy
What you need Imma buy
Better yet, imma provide
The love, companionship, the house and the ride
Cause I'm cut from a different cloth
Soup from a better broth
None of that lazy sloth
I'm the boss and the servant, both.
So, lend me your ear, have no fear right here
Kiranga Cha Ngeda, your gentleman is near
 
Fact. Ishanitokea baada ya kuona natoka na rafiki yake ndo anasema nlkua nakupenda
 
Daaahh kweli bongo kwa ektin tu kiboko!demu unaweza kufika nae hadi geto ukimvua anauliza unataka kufanya nn?!hehehe ndo mana wanawake wengi huku bongo anaweza kukupenda na asiseme hadi mapenzi yanaexpire ndo anakuja kukwambia nilikuwa nakupenda sana!heheheh
Fact
 
Alitaka umdanganye danganye.. Kwamba unampenda ujaona mwingine zaidi yake, na Sex siyo lazima ila kama ukitaka nitafanya kwani baby utaninyima nikiomba?.. ha ha ha .. Na yeye ajibu Jamani wewe siku moja tu unataka wewe ha ha jamani huku akikulalia lalia mabegani.. Na kukutoa uchafu Wa uongo uongo

Umwambie utamuoa kiruuu
Kiruu kya mai
 
Au ulikuwa na maneno mengi yasiyo na maana. Mara, oooh.. Mimi nina pesa nyingi! Ooh, baba yangu ni mwenyekiti wa kijiji. Au chuo kikuu nilipata first class

Pass ndefu kama za Mjerumani
we unavyofikiri alitakiwa aongee mameno gani ili aeleweke kwa haraka?
 
Kuna siku moja hivi nilikuwa sina hili wala lile. Nimekaa tu nyumbani naangalia dari, kuta, na sakafu za marumaru.

Basi nikampigia simu mshkaji kuona ana mpango gani kwa jioni ile.

Akasema 'Ngabu kwa nini tusiende Ramada tukajivinjari hapo?'. Nikasema poa. Nikaenda nikamkuta tayari keshafika yuko na wachuchu wawili.

Nikaagiza Pinot Grigio halafu nikajichanganya naye. Sasa nikawa nimevutiwa na yule binti mwingine, Janeth.

Nikaanza kupiga naye stori na mambo mambo. Sasa huhitaji kuwa mwanasayansi wa roketi za anga kung'amua kama nilikuwa nimemtamani. Hata yeye aliliona hilo lakini akawa anajishebedua tu.

Baadaye ndo akaniambia eti anataka nimtongoze. Nikapigwa na butwaa. Ina maana wakati wote huo nilikuwa simtongozi?

Kutongoza ndo kukoje kwani? Ni lazima useme maneno gani? Maana huenda hiyo sehemu ya mchezo mi bado sijaijua.
wewe ni muhaya?
 
Daaahh kweli bongo kwa ektin tu kiboko!demu unaweza kufika nae hadi geto ukimvua anauliza unataka kufanya nn?!hehehe ndo mana wanawake wengi huku bongo anaweza kukupenda na asiseme hadi mapenzi yanaexpire ndo anakuja kukwambia nilikuwa nakupenda sana!heheheh
Mwingine anasema tupige story tu... Hlf tuondoke, Lodge. Hajui kama umelipia pale... Saa nyng najiuliza alingia kufanya nn....
 
Nah dude.

She's not worth that effort.

Mimi nimeshajiwekea SI Unit...Maharage ya mbeya weka mbali na mimi...tongozo walau miaka miwili it worth! Sio kuwaza kuota ndoto ya kumtongoza mtu kesho unakuta kakukubali wakati bado!
 
Kuna siku moja hivi nilikuwa sina hili wala lile. Nimekaa tu nyumbani naangalia dari, kuta, na sakafu za marumaru.

Basi nikampigia simu mshkaji kuona ana mpango gani kwa jioni ile.

Akasema 'Ngabu kwa nini tusiende Ramada tukajivinjari hapo?'. Nikasema poa. Nikaenda nikamkuta tayari keshafika yuko na wachuchu wawili.

Nikaagiza Pinot Grigio halafu nikajichanganya naye. Sasa nikawa nimevutiwa na yule binti mwingine, Janeth.

Nikaanza kupiga naye stori na mambo mambo. Sasa huhitaji kuwa mwanasayansi wa roketi za anga kung'amua kama nilikuwa nimemtamani. Hata yeye aliliona hilo lakini akawa anajishebedua tu.

Baadaye ndo akaniambia eti anataka nimtongoze. Nikapigwa na butwaa. Ina maana wakati wote huo nilikuwa simtongozi?

Kutongoza ndo kukoje kwani? Ni lazima useme maneno gani? Maana huenda hiyo sehemu ya mchezo mi bado sijaijua.
Wahivyo wanamakusudi sana, yaani anataka mwisho wa siku awe na ushahidi kuwa ulimtongoza mwenyewe.
 
Mimi nimeshajiwekea SI Unit...Maharage ya mbeya weka mbali na mimi...tongozo walau miaka miwili it worth! Sio kuwaza kuota ndoto ya kumtongoza mtu kesho unakuta kakukubali wakati bado!

Ooouch!

Umegusa maslahi ya watu hapo.

Mie simo na mchanga wa pwani huoooooooo

Na hapo in the meantime na in between time kuna njema inamega huku wewe unawekeza kwa miaka miwili.

upload_2016-7-26_10-20-21.jpeg
 

Attachments

  • upload_2016-7-26_10-20-29.jpeg
    upload_2016-7-26_10-20-29.jpeg
    2.2 KB · Views: 30
Kuna siku moja hivi nilikuwa sina hili wala lile. Nimekaa tu nyumbani naangalia dari, kuta, na sakafu za marumaru.

Basi nikampigia simu mshkaji kuona ana mpango gani kwa jioni ile.

Akasema 'Ngabu kwa nini tusiende Ramada tukajivinjari hapo?'. Nikasema poa. Nikaenda nikamkuta tayari keshafika yuko na wachuchu wawili.

Nikaagiza Pinot Grigio halafu nikajichanganya naye. Sasa nikawa nimevutiwa na yule binti mwingine, Janeth.

Nikaanza kupiga naye stori na mambo mambo. Sasa huhitaji kuwa mwanasayansi wa roketi za anga kung'amua kama nilikuwa nimemtamani. Hata yeye aliliona hilo lakini akawa anajishebedua tu.

Baadaye ndo akaniambia eti anataka nimtongoze. Nikapigwa na butwaa. Ina maana wakati wote huo nilikuwa simtongozi?

Kutongoza ndo kukoje kwani? Ni lazima useme maneno gani? Maana huenda hiyo sehemu ya mchezo mi bado sijaijua.
Mi bila kupokea maneno matamu sijatogozeka bado. Haaaaaaaaaa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom