Ah msweet weee.
Kicheko chako ndo ufurufu wangu.
Na nikipatia ninapata nini? Maana mtihani unakeshe kupata credits so what is on the stake here?Ukiacha ubeba maboksi, unaweza kusema mimi nimesomea fani gani?
Hahahhaha wala vumbi hawaendi bila kudanganywaDomo zege bana![]()
Mademu wa mavumbini lazima watongozwe kwanza.
wote ulishakutana nao???Nilichogundua kutongoza wanaume inatokana na fani aliyosomea, engineers hawana maneno mengi, wanakwambia kama una nafasi tukutane kwa chakula, mkiwa mnakula anakuangalia na kukukwambia mimi nimekupenda wewe unasemaje?
Watu wa arts atakuja na maneno mengi, mara ki zawadi, mara romantic words, vi aouting vingi with adventures, mara picknic mwisho unajikuta uko kwenye kiss (kwa ridhaa yako) Hasa malawyer wanajua kuremba kwenye mapenzi.
Na nikipatia ninapata nini? Maana mtihani unakeshe kupata credits so what is on the stake here?
Au ulikuwa na maneno mengi yasiyo na maana. Mara, oooh.. Mimi nina pesa nyingi! Ooh, baba yangu ni mwenyekiti wa kijiji. Au chuo kikuu nilipata first classDomo zege bana![]()
Mademu wa mavumbini lazima watongozwe kwanza.
Nsbomile kwa misifa hawajambo.
Anza kunitongoza basi.
Anza kunitongoza basi.
Ha haa tena rozariExactly!
Jibu zuri ni kusema nataka tusali!
Mbona sijasema wewe ni mhaya, mimi najua wewe ni muha wa kasulu.Hivi mnajua kabisa kuwa mimi ni Mhaya eeh?
Hivi mpaka leo watu bado wanatongoza kwa stayle hiyo?Au ulikuwa na maneno mengi yasiyo na maana. Mara, oooh.. Mimi nina pesa nyingi! Ooh, baba yangu ni mwenyekiti wa kijiji. Au chuo kikuu nilipata first class
Pass ndefu kama za Mjerumani
Naomba nitongoze dear!Au unamvua chupi halafu anakuuliza unataka unifanye nini?!

Kuna siku moja hivi nilikuwa sina hili wala lile. Nimekaa tu nyumbani naangalia dari, kuta, na sakafu za marumaru.
Basi nikampigia simu mshkaji kuona ana mpango gani kwa jioni ile.
Akasema 'Ngabu kwa nini tusiende Ramada tukajivinjari hapo?'. Nikasema poa. Nikaenda nikamkuta tayari keshafika yuko na wachuchu wawili.
Nikaagiza Pinot Grigio halafu nikajichanganya naye. Sasa nikawa nimevutiwa na yule binti mwingine, Janeth.
Nikaanza kupiga naye stori na mambo mambo. Sasa huhitaji kuwa mwanasayansi wa roketi za anga kung'amua kama nilikuwa nimemtamani. Hata yeye aliliona hilo lakini akawa anajishebedua tu.
Baadaye ndo akaniambia eti anataka nimtongoze. Nikapigwa na butwaa. Ina maana wakati wote huo nilikuwa simtongozi?
Kutongoza ndo kukoje kwani? Ni lazima useme maneno gani? Maana huenda hiyo sehemu ya mchezo mi bado sijaijua.
Ha ha haaa mkuu..
Mchango wangu 200,000...
Kwa siku mbil tatu hizi naona kama unataka kuthubutu....
Naasili wazo lako!