Nataka udi nisaidie kulipata

Nataka udi nisaidie kulipata

Habari zenu MMU wik end ndo hii hapa, hasa kwa mambo yetu yalee ya kati. Natakiwa kupiga show moja kali matata sasa naaza kujikoki mtoto wa kike nisije aibika bure siku ya show. Katika vikoromwezo vyangu vya kujiandaa nimegundua kuna kitu kinamiss na kinaweza nishushia maksi sasa kila nikiuliza maduka ya wahindi nimekosa naombeni msaada wenu kuipata bidhaa hii tafadhali.
Nataka UDI wa kujifukiza SIO ubani hapana nataka UDI shurti nijifukize baada ya kujiswafi tayari kwa show. Show yenyewe itakuwa tarehe 20 February,2014 msaada wenu tafadhali wapi naweza pata bidhaa hiyo.
Week end njema wote.
daah mkuu, ungefanya iwe 19th feb my birthday ili nami niwe among the audience
 
Da actualy sis umekosea sana du hadi tareh ya game umetaja haikuwa na haja kusema kuwa on dat unaend fanyiwa filing aka msas ..sema unatak kujua kitu flan ingekuw poa..sana unatakiw uwe na siri pia.. haya tembelea.famasi ya karibu yako
 
Nikisikia harufu udi nahis kama jin mahaba liko nyuma ya mlango
 
Naomba tupige show ya kujipima nguvu kabla ya hiyo ya tarehe 20 kashinde
 
Last edited by a moderator:
Nenda mtaa wa nyamwezi pale magari ya mwng kariakoo yanapotokea kuna viduka vya mambo hayo...kila kheri na tarehe 20
 
Kasinde huku ni kututia mihamu tu isiyo na maana bana....wengine tuko celibate banaaaaaaaaaaaaa
 
Last edited by a moderator:
Kasinde, una show gani tar. 20 febr?
Ama una bendi ya muziki, na udi unahusikaje na kujikwatua kwa ajili ya show? au mimi sijaelewa nini!!!!!!!
Hehehee natarajia kupiga show moja matata sio bendi bana show ya kikubwa na hii inachezwa winawima kiwanja cha seremala kinakaa pembeni. Udi unafanya kunako kunakuwa intact tayari kwa mashambulizi yaani hata akiamua kuramba ukwaju akuuu anakuta udi udi tuu. Kama hujaelewa muulize excel akusaidie mie ualimu niliushindwa
 
Last edited by a moderator:
Hehehee natarajia kupiga show moja matata sio bendi bana show ya kikubwa na hii inachezwa winawima kiwanja cha seremala kinakaa pembeni. Udi unafanya kunako kunakuwa intact tayari kwa mashambulizi yaani hata akiamua kuramba ukwaju akuuu anakuta udi udi tuu. Kama hujaelewa muulize excel akusaidie mie ualimu niliushindwa

duuh....show ya tar.20 unaanza maandalizi Leo? Kweli una genye....lolz
 
assume kitufe cha like hakingekuwepo, halafu kiwepo kitufe cha kiss.. mmh!

10 kisses received from excel! hahahahaaa!!
Hahahaaaaa u r tempting me.... thanks for the kisses anyway
 
duuh....show ya tar.20 unaanza maandalizi Leo? Kweli una genye....lolz

Hahahaaa raha sana mwanamke akiwa na genye, uliza wanaume wenzio waliokutana na wanawake wenye genye ni full....
 
Kasinde huku ni kututia mihamu tu isiyo na maana bana....wengine tuko celibate banaaaaaaaaaaaaa

Yaani nikutie hamu (hapo kwenye hamu unatamani na utapata utamu ukianzia mawazoni hadi mwilini) kisha mihamu hiyo uione haina maana (hapa ni kuonesha umekosa wa kupiga nae show) ok nimekymbuka kumbe wewe ni sinia bachela pole ndo uoe sasa. Achana na ucelibate utakupoteza kuya pande hii full kuchutama na kuchubwika kistaarabu na kiroho safi.
Usivute hisia utakapokutana na mrembo mwenye genye.... waweza toka umevaa mashuka looh
 
Last edited by a moderator:
vipi yule mtoto mango g naye huwa anapitia pitia hapo

mkuu nimesema sihitaji uhusiano na under 20!

spanner yangu ni kubwa mnooooo!!!! inahitaji nati kubwa pia jamani!

mambo ya kuswekwa rumande kwa lazima...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom