excel
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 22,434
- 17,862
We utakuwa muhaya au mpenzi wako jini mahaba
kwenda zako!!!!
umetumwa wewe kama hujatumika...
We utakuwa muhaya au mpenzi wako jini mahaba
Habari zenu MMU wik end ndo hii hapa, hasa kwa mambo yetu yalee ya kati. Natakiwa kupiga show moja kali matata sasa naaza kujikoki mtoto wa kike nisije aibika bure siku ya show. Katika vikoromwezo vyangu vya kujiandaa nimegundua kuna kitu kinamiss na kinaweza nishushia maksi sasa kila nikiuliza maduka ya wahindi nimekosa naombeni msaada wenu kuipata bidhaa hii tafadhali.
Nataka UDI wa kujifukiza SIO ubani hapana nataka UDI shurti nijifukize baada ya kujiswafi tayari kwa show. Show yenyewe itakuwa tarehe 20 February,2014 msaada wenu tafadhali wapi naweza pata bidhaa hiyo.
Week end njema wote.
Ukipania hivo mwisho inakuwaga mbaya yani utafanya makolokocho...
mara mwezi ushuke duniani
ungekuwa mwanaume uuuuh haisimami labda kwa p.o.p
katafute maduka ya waarabu wanaouza henna, marashi n.k
mweh umentamanisha kupiga chabo....:loco:
kwenda zako!!!!
umetumwa wewe kama hujatumika...
Umesema shoo itafanyika kichochoro gani? i will be there for chabo tu
Kumbe tuna wanabendi sijui wanakwaya wa taarab humu wana mauno kata...!!!
Mambo ya show za 6 kwa 6 hakuna refa wala faulo wala watazamaji hehehe
Kasinde ni-pm namba yako ileee.. nikupe mautundu ya kujifukiza huku ukiwa na mziki laiiini wa anantara spa!!
sheria za udi shurti uwe gubi gubi..
Hheheheeee umenchekesha, mwezi nshauweka kati wala tarehe hizo hautanisumbua so hapo niko swaaafiii.
Asante ntaenda hayo maduka ya waarabu niulizie tena japo kuna duka moja mjini wanauza henna wakaniambia hawana, tena nataka ile ya chenga ikikolea kunakuwa tamuu kama sukari jamaa akianza kuchomeka muwa atakuwa anameza mate tuu. Mweeeh ukipija chabo utaweza vumilia hadi mwisho? Usjekimbilia kwenye mti wa mbilimbi looh heheheheee
Heheheeee tuhamie huko unipe hayo maujanja looh na mziki tena, halahala tuu nsijejikuta naahirisha mechi yangu kwa maufundi yako.
Gubigubi muhimu hiyo nafahamu c u there...
Dah nimeamini kuna kila sampul ya viumbe!!aya bibie nenda mtaa wa narung'ombe pale kuna maduka ya waarab karibia na yale mabenk yaliyofuatana utapata hitaj la moyo wako!
Habari zenu MMU wik end ndo hii hapa, hasa kwa mambo yetu yalee ya kati. Natakiwa kupiga show moja kali matata sasa naaza kujikoki mtoto wa kike nisije aibika bure siku ya show. Katika vikoromwezo vyangu vya kujiandaa nimegundua kuna kitu kinamiss na kinaweza nishushia maksi sasa kila nikiuliza maduka ya wahindi nimekosa naombeni msaada wenu kuipata bidhaa hii tafadhali.
Nataka UDI wa kujifukiza SIO ubani hapana nataka UDI shurti nijifukize baada ya kujiswafi tayari kwa show. Show yenyewe itakuwa tarehe 20 February,2014 msaada wenu tafadhali wapi naweza pata bidhaa hiyo.
Week end njema wote.
Muelekeze mwenzio anajiandaa na show ya tarehe 20Aisee!!