Nataka udi nisaidie kulipata

Nataka udi nisaidie kulipata

Hahahaaa live bana mie mwenyewe niko live y kufanya show ya kizombie, yaani ni kusimamia kwato mwanzo mwisho ila washangiliaji hamna....hehehee

Kasinde naomba kuwa refa wa hii gemu....
 
Kasinde naomba kuwa refa wa hii gemu....

Hapana nna was was hutaweza vumilia angalia show yote na kutoa matokeo, wacha nisimamie show menyewe
 
hapa nimeachwa porini kasinde!

Kuna uto unaitwa udi --------- sana na waarabu au wahindi unamatumizi mbalimbali mojawapo ni kujifukiza mwanamama kwa ajili ya show na mambo mengine, sasa mie nautaka kwa ajili ya show nimezunguka maduka ya mjini ya wahindi nimekosa ndo nikaona nije kuuliza hapa jf na nshapata jibu. Bado umeachwa porini?
 
Oohh My Goosh!!! Ukiendelea zaidi ntakuwa nshahorojeka yaani ukipeleka tuu kulia naenda kushoto naenda juu.... singing the same rythm?

yeah.. iam right here swinging my ..

go ahead.. you are soo romantic!
 
Sisi siyo wanganga au hatumiliki majini waulize wanganga kila unakopita huoni mabango ya wanganga

Halafu wewe utakuwa mganga tapeli mbona kujishuku? Si unajua mlevi akiwa njwii anavosema "mi sjalewa.." so do u...
 
yeah.. iam right here swinging my ..

go ahead.. you are soo romantic!

Pls lets find a room yaani naskia aibu hapa nakula kucha tuu, hata kukutazama usoni siwezi, help me pls
Kuna wanaotupiga chabo ujue...
 
Pls lets find a room yaani naskia aibu hapa nakula kucha tuu, hata kukutazama usoni siwezi, help me pls
Kuna wanaotupiga chabo ujue...

achana nao hao!!

nina acid pembeni! atakaetoa jicho tu, nnae!

btw, ushawahi kunywa supu ya pweza? its good for work!
 
Kashinde, kashinde hilo pepo la uzinzi ktk jina la Yesu Kristo wa Nazareti!
 
Yaani nikutie hamu (hapo kwenye hamu unatamani na utapata utamu ukianzia mawazoni hadi mwilini) kisha mihamu hiyo uione haina maana (hapa ni kuonesha umekosa wa kupiga nae show) ok nimekymbuka kumbe wewe ni sinia bachela pole ndo uoe sasa. Achana na ucelibate utakupoteza kuya pande hii full kuchutama na kuchubwika kistaarabu na kiroho safi.
Usivute hisia utakapokutana na mrembo mwenye genye.... waweza toka umevaa mashuka looh

Siku moja...!
 
achana nao hao!!

nina acid pembeni! atakaetoa jicho tu, nnae!

btw, ushawahi kunywa supu ya pweza? its good for work!

cjawahi kunywa supu ya pweza huwa nakula pweza mwenyewe tuu let me try ila nsije nkazidisha dozi ikanletea balaa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom