Nataka Rais Magufuli ashindwe

Status
Not open for further replies.
Nahisi kufikia 2019 magereza yatakua yamejaa na pia mamba wa mto ruvu watakua wamenenepa sana!
BTW: naunga mkono hoja 100%
 
Mimi natamani January makamba, nape nnauye na wote walioshadadia sheria ya mitandao wafe tuwazike tumalize shida. By the way nna maono watakufa soon

Na jela siendi na nisharopoka maono ya Lema

Huyu rais nilidhani angekuwa wa maana kumbe bora mpenda safari Kikwete. Huu udikteta angeupeleka kwenye mambo ya msingi angefanya la maana sana. Seems hana shughuli anazi create kama Mjinga mjinga yule taahira Paul Makonda
Badala ya kuwafunga midomo naona sasa wametufunga Nitro, Exhaust inapumua moto tu na flatouts za maana
Sina hata mtoto jamani wengine tukifa tutakufa kama mbwa wacha nijinyamazie huku lengo kuu likiwa kufyatua watoto kwanza
 
Naunga mkono anakwenda vizuri ila washauri wanamuogopa kumwambia ukweli akiachia uhuru wa mawazo na kusikiliza zaidi anaweza kuwapiku marais wote but one tuzidi kumwombea yy na Viongozi wengine watende HAKI kwa wote hata kwa wapizani wake na MUNGU atamlinda, amen!
 
Nyie nyote mnaompinga JPM ndiyo mtashindwa vibaya sana kwakua mnashindana na mamlaka itokayo kwa Mungu.Huyo aliyekamatwa kakamatwa kwa mujibu wa Sheria na si kwa maagizo ya JPM.Tuache Sheria ichukue Mkondo wake na si kila kitu kumsingizia Rais.
 
Huwa mm nasema kila siku wakosoaji wa Magufuli hawana hoja kabisa, wanajifanya ma griti thinka kumbe ni ujinga mtupu.

Hoja zao mara nyingi zinaegemea kwenye kumkejeli rais na kumbatiza majina ya dhihaka. Na ona mleta mada yeye amajikita kwenye hekima mara kukosea kingereza, sasa nikuulize wewe mleta mada huo ustaarabu ni upi unaotaka?

Kama ni viongozi wastaarabu alikuwepo JK na tulitokwa mapovu hivihivi.

Tujifunze sisi kwanza kuwa na heshima. Haiwezekani unachukua tu kisimu chako unaorodhesha jejeli kibao kwa rais wa nchi alafu unasema eti huo ndio ukosoaji!
 
Nyie nyote mnaompinga JPM ndiyo mtashindwa vibaya sana kwakua mnashindana na mamlaka itokayo kwa Mungu.Huyo aliyekamatwa kakamatwa kwa mujibu wa Sheria na si kwa maagizo ya JPM.Tuache Sheria ichukue Mkondo wake na si kila kitu kumsingizia Rais.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mamlaka itokayo kwa Mungu ipi?

haaahaaaa.....!!!pole sana
 
Hivi ninyi huwa mnakosoa au mnaponda?
 
USHINDWE WEWE MWENYEWE . ULIONAO NDIO MOYO WA HUSUDA, NA HASIDI HAFANIKIWI KAMWE.
 
Hivi kwani uzush ukipotezewa shida iko wapi si muwaache watu watoe madukuduku yao jamani maana hatufanani .Mangapi yamepotezewa?Maana hata uzushi nao unaeza ukawa na ka ukweli kakifanyiwa kazi.Kusingiziana kupo ktk maisha ya kawaida na hii inatufanya tuish tukiwa makini.Hayo ya machafuko waachieni wenyewe huko.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…