Nataka Rais Magufuli ashindwe

Nataka Rais Magufuli ashindwe

Status
Not open for further replies.
Aisee, ama kweli "people forget but the internet never forgets"
 
Hili ndilo bandiko la mwisho huyu jamaa kumkosoa Rais, mengineyo tunayashuhudia wote humu mtandaoni, ni sifa kwa kwenda mbele. Sasa yeye na wanaonunuliwa sijui kuna tofauti gani. Kumbe alikuwa na price tag?!!!

Ndo bandiko langu la mwisho kumkosoa Magufuli?

Unaumwa wewe.
 
849a77f616f7b7d1969de54f79df25fc.jpg
 
Akichemka tutamkosoa tu. Akichapia Kiingereza tutamcheka tu. Kama hana ngozi nene ya kuweza kumudu na kuvumilia kuongelewa kwa namna yoyote ile basi aondoke. Aachie ngazi.

Mtu mwenyewe kwanza hafai kuwa rais. Hana haiba ya urais, hana hekima wala busara zinazotakiwa mtu wa kiwango cha rais kuwa nazo. Kila akifungua mdomo wake mtu unaanza kuombea asiongee maneno ya kuaibisha.

Sikuwahi hata siku moja kudhani kuna mtu angekuja kumpiku JK kwenye ubomu lakini ndani ya mwaka tu huyu jamaa keshamuacha mbali mno JK. Pata picha hiyo miaka minne iliyobaki hali itakuwaje
Hata wale wa Corner Bar sio vigeugeu wa kiwango hiki. Hovyo kabisa!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom