Ati! Yale aliyoyasema TL.alikuja kujua baadaye Sizonje Ni msukuma mwenzake
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Ati! Yale aliyoyasema TL.alikuja kujua baadaye Sizonje Ni msukuma mwenzake
Unajua watu wengi tumepigwa bumbuazi kutoka na msimamo wako wa sasa,umekuwa mtetezi wa kila kitu juu ya serikali yaani huoni huambiwi,unalizungumziaje hilo?Nilikuwa namaanisha aache watu wawe huru.
Hakuna sababu ya kupiga marufuku mikutano ya kisiasa. Hakuna sababu ya kuwakamata na kuwanyanyasa wapinzani. Hakuna sababu ya kuvifungia vyombo vya habari na kuwanyanyasa wamiliki wake.
Kwenye hayo nataka ashindwe.
Hata kwenye kupiga marufuku wanafunzi wa kike wanaopata mimba kurudi mashuleni nataka ashindwe.
Kumtaka ashindwe kwenye hayo haimaanishi namtaka ashindwe kwenye kuinyoosha nchi hususan kwenye ufisadi na kuleta nidhamu kwenye ofisi za serikali.
Ndo maana nikiona kapatia kwenye jambo fulani nampongeza. Nikiona kakosea, nampinga.
Kigumu kuelewa hapo ni kipi?
Nadhani atakuja kulizungumzia hili maadam yupo humualikuja kujua baadaye Sizonje Ni msukuma mwenzake
It is our turnPole.
Unajua watu wengi tumepigwa bumbuazi kutoka na msimamo wako wa sasa,umekuwa mtetezi wa kila kitu juu ya serikali yaani huoni huambiwi,unalizungumziaje hilo?
Msimamo wa Magufuli ni uleule , ila wewe ndio umebadilika , kilichokubadilisha ni nini ?Unaogopa?
Ukinyonga wakoMimi nimekuwa mtetezi wa kila kitu juu ya hii serikali?
Nyie watu mnachekesha sana.
Nimekuwaje mtetezi wa kila kitu ilhali juzi tu hapa nimewapinga na msimamo wao wa kukataza wanafunzi wa kike wapatao mimba kurudi shuleni?
Hilo nimelipinga juzi tu hapa na hata mwezi haujapita.
Hata hizi kampeni za sijui Magufuli atawale kwa zaidi ya miaka 10 nimezipinga na nitazipinga daima.
Huwa mko wapi nikiwa nampinga?
Hivi, kwani mnadhani ni lazima watu wote tuwe ni washabiki wa vyama?
Sio lazima wote tuwe CCM au CHADEMA.
Wengine hatuna vyama na huko kutokuwa na vyama kunatuweka huru zaidi.
Kwa vile kuna mambo namuunga mkono Magufuli hiyo haina maana namuunga mkono kwenye kila kitu. Mengine nampinga. Kwa hiyo wala sijabadilika. Akipatia sehemu nitamuunga mkono. Nikiona kakosea nitampinga.
Hata kwa vyama vya upinzani ni vivyo hivyo. Wakipatia jambo nitawaunga mkono. Wakikosea nitawachana.
Lililo gumu kueleweka hapo ni lipi?
Magufuli ni jembe ni sharp kama kisu cha bucha, mtasubiri ashindwe ila ndo anaongeza kasi. In short he is the best president in africa kwa sasa. Nakuona wewe ni mpumbav na mshenzi mkubwa maana hauwezi kutoboa mtumbwi ambao wewe mwenyewe umeupanda. Sikutofautishi na lissu ama katibu mkuu wa cuf malimu. Unataka magufuli ashindwe, then what next akishindwa yeye unadhani wewe utabaki salama, ni sawa na mbumbumbu wenzako wanaofundisha wazungu kutuwekea vikwazo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtu gani kila analowaza ni baya? Na kila maamuzi anayofanya yanaangukia pua mahakamani. Huyu bangi zimemharibu, hafai kabisa kuwa kiongozi.Km wewe Mungu upangalo linakuwa bac atashindwa
Msimamo wako wa awali ulikuwa kwamba JPM hata sifa ya kuwa Rais hana. Sasa kama hata sifa hana inakuwaje udai kuna mambo unakubaliana naye na mengine hukubaliani naye?Mimi nimekuwa mtetezi wa kila kitu juu ya hii serikali?
Nyie watu mnachekesha sana.
Nimekuwaje mtetezi wa kila kitu ilhali juzi tu hapa nimewapinga na msimamo wao wa kukataza wanafunzi wa kike wapatao mimba kurudi shuleni?
Hilo nimelipinga juzi tu hapa na hata mwezi haujapita.
Hata hizi kampeni za sijui Magufuli atawale kwa zaidi ya miaka 10 nimezipinga na nitazipinga daima.
Huwa mko wapi nikiwa nampinga?
Hivi, kwani mnadhani ni lazima watu wote tuwe ni washabiki wa vyama?
Sio lazima wote tuwe CCM au CHADEMA.
Wengine hatuna vyama na huko kutokuwa na vyama kunatuweka huru zaidi.
Kwa vile kuna mambo namuunga mkono Magufuli hiyo haina maana namuunga mkono kwenye kila kitu. Mengine nampinga. Kwa hiyo wala sijabadilika. Akipatia sehemu nitamuunga mkono. Nikiona kakosea nitampinga.
Hata kwa vyama vya upinzani ni vivyo hivyo. Wakipatia jambo nitawaunga mkono. Wakikosea nitawachana.
Lililo gumu kueleweka hapo ni lipi?
Msimamo wako wa awali ulikuwa kwamba JPM hata sifa ya kuwa Rais hana. Sasa kama hata sifa hana inakuwaje udai kuna mambo unakubaliana naye na mengine hukubaliani naye?
Nape alisha isoma number.... Makamba yupo yupo tu kama tiaraMimi natamani January makamba, nape nnauye na wote walioshadadia sheria ya mitandao wafe tuwazike tumalize shida. By the way nna maono watakufa soon
Na jela siendi na nisharopoka maono ya Lema
Hili la kuiingiza mkenge nchi kulipa mabilioni ya fedha, tena kwa kurudiarudia, kwako hakuna tatizo?Namuunga mkono Magufuli kwenye mambo mengi kasoro la kutowapa shahiki watumishi
hatuogopi jee wewe ulihakiwa??Unaogopa?
Hili ndilo bandiko la mwisho huyu jamaa kumkosoa Rais, mengineyo tunayashuhudia wote humu mtandaoni, ni sifa kwa kwenda mbele. Sasa yeye na wanaonunuliwa sijui kuna tofauti gani. Kumbe alikuwa na price tag?!!!Miezi michache iliyopita rais Magufuli alisema anatamani malaika ashuke [sijui ashuke toka wapi] aje kuizima mitandao ya kijamii ambayo tumekuwa tukiitumia kupashana habari na kubadilishana maoni na mawazo kuhusu mambo mbalimbali.
Baadhi yetu tuliyachukulia maneno hayo kama ishara ya mambo yajayo kuhusu uminywaji wa hii mitandao na haki ya watu kuitumia kwa kujieleza, kutoa maoni, na kuikosoa serikali.
Sasa kitendo kilichotokea jana cha kukamatwa kwa Max kimethibitisha kuwa huu utawala wa Magufuli umeazimia kutuziba midomo kwa kutumia mabavu ya dola.
Kwa hilo mimi nataka huyo Magufuli ashindwe na alegee kabisa. Sitaki kabisa afanikiwe hata kidogo na watu wote wenye akili zao timamu hawana budi kumpinga na kuifanya hiyo azma yake iwe muhali.
Kupinga udhalimu ni jambo la adhama. Na huyu mtu tayari keshaonyesha dalili zote za udikteta. Hivyo tumpinge kwa pumzi na nguvu zetu zote. Kwanza ni mtumishi wetu na si vinginevyo.
Hizi siyo zama za kupelekeshana kwa vitisho. Haogopwi mtu zama hizi.
Akichemka tutamkosoa tu. Akichapia Kiingereza tutamcheka tu. Kama hana ngozi nene ya kuweza kumudu na kuvumilia kuongelewa kwa namna yoyote ile basi aondoke. Aachie ngazi.
Mtu mwenyewe kwanza hafai kuwa rais. Hana haiba ya urais, hana hekima wala busara zinazotakiwa mtu wa kiwango cha rais kuwa nazo. Kila akifungua mdomo wake mtu unaanza kuombea asiongee maneno ya kuaibisha.
Sikuwahi hata siku moja kudhani kuna mtu angekuja kumpiku JK kwenye ubomu lakini ndani ya mwaka tu huyu jamaa keshamuacha mbali mno JK. Pata picha hiyo miaka minne iliyobaki hali itakuwaje.
Huyu mtu tumdindie. Tukinywea atavimba kichwa na kujiona ana nguvu nyingi ilhali hana. Hana nguvu za kuweza kuzidi nguvu ya umma.
Kwa hiyo mimi nataka ashindwe. Tena ashindwe vibaya. Je wewe mdau wasemaje?
Ngoja aje umuulize, unataka ashindwe Rais? Majibu utayapataHili ndilo bandiko la mwisho huyu jamaa kumkosoa Rais, mengineyo tunayashuhudia wote humu mtandaoni, ni sifa kwa kwenda mbele. Sasa yeye na wanaonunuliwa sijui kuna tofauti gani. Kumbe alikuwa na price tag?!!!