Nataka Rais Magufuli ashindwe

Nataka Rais Magufuli ashindwe

Status
Not open for further replies.
Nyani Ngabu unajua sikuelewi elewi ww jamaa. Mara usifie tukuponde mara upondee tukusifie. Umekuwa popo, sio ndege sio mnyama.

Hata hivyo kwa posti hii nakupa dole gumba
 
Kinyonga kwa mwendo wake ni tabu kama ana maringo vile kumbe ndo alivyo kaumbwa kubadilikabadilika rungi zake kesho kijani mara nyeusi mara kahawia
 
Sioni tofauti ya nyani ngabu na wema!
12397dc7f1ba0ce82bc236a177922717.jpg
 
Nyani Ngabu unajua sikuelewi elewi ww jamaa. Mara usifie tukuponde mara upondee tukusifie. Umekuwa popo, sio ndege sio mnyama.

Hata hivyo kwa posti hii nakupa dole gumba

Huwezi kunielewa kwa sababu akili yako ndogo.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom