Fao La Kujitoa
JF-Expert Member
- Sep 17, 2016
- 396
- 967
liangalie linavyojifariji kwa kiingereza.I’m an equal opportunity critic!
Something that above the pay grade of makamanda.
Nyau
liangalie linavyojifariji kwa kiingereza.I’m an equal opportunity critic!
Something that above the pay grade of makamanda.
Nyau wewe
Aisee...He sets the tone.
And the buck stops with him.
tehe tehe tehe shikamoo jf![]()
![]()
![]()
hatimae kaburi limefukuliwa JF
![]()
Hahahaha tena bonge la kaburi namuona huko juu anapapatua nalo kujinasua lakini wanajamii wamemkaba kooni![]()
![]()
![]()
hatimae kaburi limefukuliwa JF
![]()
Hahahaha tena bonge la kaburi namuona huko juu anapapatua nalo kujinasua nalo lakini wanajamii wamemkaba kooni
kweli Mungu na Teknolojia ni vitu vya kuogopa sana
Nyani Ngabu unajua sikuelewi elewi ww jamaa. Mara usifie tukuponde mara upondee tukusifie. Umekuwa popo, sio ndege sio mnyama.
Hata hivyo kwa posti hii nakupa dole gumba![]()
Hahahah....Pongezi zako mkuu, inaelekea una ujuzi sana kwenye hii kazi ya ufukuajinishukuriwe mimi niliyefukua hili kaburi proudly mfukua makaburi wa jf hahaha
liangalie linavyojifariji kwa kiingereza.
Nyau
Nyau wewe
hahaha asante mkuu kwel internet huwa ina kumbukumbu aiseeHahahah....Pongezi zako mkuu, inaelekea una ujuzi sana kwenye hii kazi ya ufukuaji
hahaha big up mpaka jamaa kapanicUnafanya kazi nzuri sana mkuu kufukua hizi kaburi