Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,116
- 136,852
- Thread starter
- #701
NN naona acciunt yako ilidukuliwa
Nope.
Nachoona ni wewe kujua kusoma na kushindwa kuelewa ulichokisoma.
NN naona acciunt yako ilidukuliwa
Ushindwe na ulegee sana hadi ushindwe kuongeaAmini na iwe kweli hii.
Mkuu Tanzania inaongoza kwa unafiki dunia nzima ndio mana tuko hivi tulivyo,hatusogei zaidi ya kurudi nyuma Leo hii huyo jamaa anaweza kataa kwamba hakuandika yeyeSiamini kama haya yaliandikwa na huyu au ni bahati mbaya
Ahahahahahaaaaaaaa kweli mnafiki hajifichiNaam.
Ya NN yule yule wa siku zote kwa zaidi ya muongo mzima humu JF.
Ahahahahahaaaaaaaa kweli mnafiki hajifichi
Hii JF hii ona sasa tulivyokuwa na tulivyo sasaDuh!
Povu lote hilo la nini sasa?
Na atashindwa tu huyo Magu wako.
Hizi sheria zinapitishwaga na wabunge wa ndioooo ni za kishenzi na kibabe zinazo contradict katiba ya nchi!
NN ulichokipost wakati huo ulikuwa unamaanisha nini? na sasa ni nini kimebadilika?Sasa unafiki uko wapi hapo?
What a coincidence!Nope.
Msimamo bado uko palepale.
Ikija kwenye demokrasia na uhuru wa vyombo vya habari na uhuru wa watu kujieleza, bado nataka Magufuli ashindwe kama nia na malengo yake ni kuviminya.
Lakini sitegemei uelewe nilichokiandika hapo....
Ukileta maada ifafanue kiumakini kuanzia title. Sasa unavotwambia ashindwe unamaanisha nini? Kuna kushidwa kwa aina nyingi. Kabla mtu hajaingia kusoma ulichoelezea ndani ya topic yako basi anatakiwa ajue from the scratch. Anaweza akashindwa kumgonga mama yako, akashidwa kutembea na mke wako, akashindwa kukugonga Wewe. Heading ama title ijipambanue. By the way Magufuli ni Rais. Hivyo akishindwa maana wote tumeshindwa.
Kama huna cha kupost usiingie jamii frorum mbwa we. Na ukinijibu nakutiririkia mpumbavu wee. Huwezi kumkashifu Rais
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna cha kukubaliana nawe kama huna uwezo wa kuelewa nilichokiandika.What a coincidence!
Sitegemei utanielewa. Tukubaliane tu kwa hilo Mkuu
Nilikuwa namaanisha aache watu wawe huru.NN ulichokipost wakati huo ulikuwa unamaanisha nini? na sasa ni nini kimebadilika?
Pole.Ukileta maada ifafanue kiumakini kuanzia title. Sasa unavotwambia ashindwe unamaanisha nini? Kuna kushidwa kwa aina nyingi. Kabla mtu hajaingia kusoma ulichoelezea ndani ya topic yako basi anatakiwa ajue from the scratch. Anaweza akashindwa kumgonga mama yako, akashidwa kutembea na mke wako, akashindwa kukugonga Wewe. Heading ama title ijipambanue. By the way Magufuli ni Rais. Hivyo akishindwa maana wote tumeshindwa.
Kama huna cha kupost usiingie jamii frorum mbwa we. Na ukinijibu nakutiririkia mpumbavu wee. Huwezi kumkashifu Rais
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajitekenya kisha unacheka mwenyewe tu hapo.Nazi haiwezi shindana na jiwe.
Sent using Jamii Forums mobile app
alikuja kujua baadaye Sizonje Ni msukuma mwenzakeAyaaa hivi hiyo acc. ilikuwa imekuwa hacked. Sio Nyani Ngabu huyo. Lakini tumbo jeuri!
Sent using Jamii Forums mobile app