Hivi yule aliyesema serikali haina ugomvi na Dangote na anatala gesi ya bure kisha kesho yake akasema kweli serikali intatizo na Dangote na jana alidanganya ila ukweli ndio huu. Ni nani muongo hapa????Kwani mtu ukitoa maoni yako pasipo kutoa matusi au ukianzisha uzi wenye uhalisia na usio wa kichochezi unakuwa na hofu ya nini?
Tatizo lililopo kuna baadhi yetu tumekuwa maarufu kutunga stori za uongo na kuzijengea hoja then tunataka jamii iamini kama ni kweli kumbe ni upotoshaji
Mtu kama umeanzisha mada yako na ushahidi unao kwa nini uogope? Endapo utahitajika polisi si unapeleka ushahidi?
Fikiria mtu anayeanzisha uzi hapa eti Dangote anahamishia kiwanda Kenya na hizo habari zinasambaa dunia nzima kumbe ni uonge pasipo kufikiria negative impacts kwa wawekezeji walioko huko nje. Mtu kama huyu leo hawezi fanywa kitu sababu tu anatumia ID feki sishangai kesho akaibuka na jambo jingine
Watu wa namna hii lazima washughulikiwe hakuna kulea ujinga. Watanzania tumekuwa maarufu sana wa kupika majungu
Ninakubaliana na wewe kabisa uhuru wa kutoa maoni lazima uheshimiwe na watawala kwani ni takwa la kikatiba lakini uhuru huo lazima uzingatie utu na nidhamu.
Leo mtu akimchukia mtu flani sababu za kiitikadi za vyama au jambo lolote, kesho anamtungia tuhuma na kusambaza kwenye mitandao. Vitu vya namna hiyo siyo vya kulea
Wape za mbavu hao Mkuu!Bunge limezibwa mdomo, vyombo vya habari vimewekewa speed gavana na JF mnataka kuiziba mdomo? Hili haliwezekani.
Labda tukumbushane tu inawezekana wengi wameijuwa JF sasa hivi, kama Rais wetu amepania kwa dhati kupambana na ufisadi na mchwa wote wanaolihujumu Taifa basi JF ndio tool number one ya kuitumia bila gharama yoyote.
Watu wa vyombo vya dola mkumbuke kashfa ya Richmond kwa mara ya kwanza ilibuuliwa hapa JF, hata ujiko alioupata Dr Slaa bungeni 90% ya data zake alikuwa anazipata hapa.
Marehemu Samuel Sitta alimponda Dr Slaa ati ana ushahidi wa kuokoteza vichochoroni lakini ukweli ushahidi ule ulikuwa thabiti na hatimaye ukweli ulijulikana.
Majangili wote wakubwa orodha yao iko hapa JF, nilitalajia vyombo vya dola viverify information zilizopo hapa.
Orodha wa wauza unga wakubwa wote iko hapa JF, nilitajia Anti drugs wapate pa Kuanzia through hizi information.
Isitoshe Max kwa nia njema ameweka thread maalum ya kuishauri serikali na kufichuwa uovu mbalimbali yote hii ni kazi bure?
Hivi mtu kama Max anayestahili tuzo kwa kazi aliyoifanya kwa Taifa badala yake tuzo yake ndio iuwekwa ndani?
Huu uzalendo mnatuhubiria tuwe nao nitakuwa vipi mzalendo, kama mzalendo wa kweli kama Max anatendewa haya?
Mwigulu brother cheo ni dhamana, kumbuka hayo mabasi ya kubeba maabusu aliyaleta Laurence Masha finally na yeye akayapanda na alilala segerea.
Cheo cha uwaziri ni dhamana lakini ukirudi nyuma wewe ni mwanachama mwenzetu hapa na wanaomshikiria Max wapo chini yako hivi mheshimiwa huyu Max ameuwa mpaka ushindwe hata kuwaambia vijana wako wampe dhamana atakuja kuripoti polisi? Hivi tukufikiriaje?
Funguwa ile thread ya utetezi wako kuhusu wewe kufoji na kutumia jina la mtu jinsi tulivyokutetea huku tukiujuwa ukweli lakini tulisimama kukutetea kwa sababu tunaujuwa mfumo wa nchi yetu ulikuwaje enzi za mwalimu.
Leo hii wewe huyuhuyu muheshimiwa sana unashindwa kumtetea Max? Ni thread ngapi hapa JF huwa zinapigwa kufuri kama haziendani na maaudhui mpaka vijana wenye mihemko wa Chadema wanasema JF imenunuliwa na ccm?
Kwakweli hii ni chuki ya bure mnaijenga, Max ana wafuasi wengi kuliko mnavyoweza kufikiri labda naona mmeamuwa kulipaisha jina lake hata wasoma udaku sasa wamjuwe maana Max always anaaply low profile.
Amen!Maneno yako na yakapate kibali, kwa Mungu ili yatimie 2020, Ee Mungu baba tunakuomba ukatuinulie Edward Lowasa awe rais wetu wa Tanzania, tunaomba na kushukuru kwa Jina la Yesu...wote tuseme amen
Schlonged.Boss Lady. Capo di tutti signore of JF: check yourself before you wreck yourself.
Unaogopa?
Kila mtu ni kichaa ukitaka kujua ukichaa wa mtu suburi akikasirika yeye anajivunia nguvu ya dola (peoples power) ndiyo mpango mzimaMiezi michache iliyopita rais Magufuli alisema anatamani malaika ashuke [sijui ashuke toka wapi] aje kuizima mitandao ya kijamii ambayo tumekuwa tukiitumia kupashana habari na kubadilishana maoni na mawazo kuhusu mambo mbalimbali.
Baadhi yetu tuliyachukulia maneno hayo kama ishara ya mambo yajayo kuhusu uminywaji wa hii mitandao na haki ya watu kuitumia kwa kujieleza, kutoa maoni, na kuikosoa serikali.
Sasa kitendo kilichotokea jana cha kukamatwa kwa Max kimethibitisha kuwa huu utawala wa Magufuli umeazimia kutuziba midomo kwa kutumia mabavu ya dola.
Kwa hilo mimi nataka huyo Magufuli ashindwe na alegee kabisa. Sitaki kabisa afanikiwe hata kidogo na watu wote wenye akili zao timamu hawana budi kumpinga na kuifanya hiyo azma yake iwe muhali.
Kupinga udhalimu ni jambo la adhama. Na huyu mtu tayari keshaonyesha dalili zote za udikteta. Hivyo tumpinge kwa pumzi na nguvu zetu zote. Kwanza ni mtumishi wetu na si vinginevyo.
Hizi siyo zama za kupelekeshana kwa vitisho. Haogopwi mtu zama hizi.
Akichemka tutamkosoa tu. Akichapia Kiingereza tutamcheka tu. Kama hana ngozi nene ya kuweza kumudu na kuvumilia kuongelewa kwa namna yoyote ile basi aondoke. Aachie ngazi.
Mtu mwenyewe kwanza hafai kuwa rais. Hana haiba ya urais, hana hekima wala busara zinazotakiwa mtu wa kiwango cha rais kuwa nazo. Kila akifungua mdomo wake mtu unaanza kuombea asiongee maneno ya kuaibisha.
Sikuwahi hata siku moja kudhani kuna mtu angekuja kumpiku JK kwenye ubomu lakini ndani ya mwaka tu huyu jamaa keshamuacha mbali mno JK. Pata picha hiyo miaka minne iliyobaki hali itakuwaje.
Huyu mtu tumdindie. Tukinywea atavimba kichwa na kujiona ana nguvu nyingi ilhali hana. Hana nguvu za kuweza kuzidi nguvu ya umma.
Kwa hiyo mimi nataka ashindwe. Tena ashindwe vibaya. Je wewe mdau wasemaje?
Hata kulike point nzuri tumekuwa waoga maana unaweza ukalike nyundo ya mdau kumbe jamaa ndio wanaispot hiyo hiyo nyundo wakijafanikiwa (just incase) kupata access ya jf watabeba mtoa hoja na waliolike.
Mbona tunalo
Schlonged.
Boss Lady. Capo di tutti signore of JF: check yourself before you wreck yourselfSchlonged.
Boss Lady. Capo di tutti signore of JF: check yourself before you wreck yourself
Boss Lady. Capo di tutti signore of JF: check yourself before you wreck yourselfSchlonged.
Boss Lady. Capo di tutti signore of JF: check yourself before you wreck yourself
Utashindwa wewe..Miezi michache iliyopita rais Magufuli alisema anatamani malaika ashuke [sijui ashuke toka wapi] aje kuizima mitandao ya kijamii ambayo tumekuwa tukiitumia kupashana habari na kubadilishana maoni na mawazo kuhusu mambo mbalimbali.
Baadhi yetu tuliyachukulia maneno hayo kama ishara ya mambo yajayo kuhusu uminywaji wa hii mitandao na haki ya watu kuitumia kwa kujieleza, kutoa maoni, na kuikosoa serikali.
Sasa kitendo kilichotokea jana cha kukamatwa kwa Max kimethibitisha kuwa huu utawala wa Magufuli umeazimia kutuziba midomo kwa kutumia mabavu ya dola.
Kwa hilo mimi nataka huyo Magufuli ashindwe na alegee kabisa. Sitaki kabisa afanikiwe hata kidogo na watu wote wenye akili zao timamu hawana budi kumpinga na kuifanya hiyo azma yake iwe muhali.
Kupinga udhalimu ni jambo la adhama. Na huyu mtu tayari keshaonyesha dalili zote za udikteta. Hivyo tumpinge kwa pumzi na nguvu zetu zote. Kwanza ni mtumishi wetu na si vinginevyo.
Hizi siyo zama za kupelekeshana kwa vitisho. Haogopwi mtu zama hizi.
Akichemka tutamkosoa tu. Akichapia Kiingereza tutamcheka tu. Kama hana ngozi nene ya kuweza kumudu na kuvumilia kuongelewa kwa namna yoyote ile basi aondoke. Aachie ngazi.
Mtu mwenyewe kwanza hafai kuwa rais. Hana haiba ya urais, hana hekima wala busara zinazotakiwa mtu wa kiwango cha rais kuwa nazo. Kila akifungua mdomo wake mtu unaanza kuombea asiongee maneno ya kuaibisha.
Sikuwahi hata siku moja kudhani kuna mtu angekuja kumpiku JK kwenye ubomu lakini ndani ya mwaka tu huyu jamaa keshamuacha mbali mno JK. Pata picha hiyo miaka minne iliyobaki hali itakuwaje.
Huyu mtu tumdindie. Tukinywea atavimba kichwa na kujiona ana nguvu nyingi ilhali hana. Hana nguvu za kuweza kuzidi nguvu ya umma.
Kwa hiyo mimi nataka ashindwe. Tena ashindwe vibaya. Je wewe mdau wasemaje?