Nataka Rais Magufuli ashindwe

Nataka Rais Magufuli ashindwe

Status
Not open for further replies.
Anajiona ana akili sana, anajiona malaika asiyejaribiwa, anajiona ana nguvu sana, ukimuangalia vizuri usoni wakati anaongea utagundua kuna kitu hakipo sawa
Aha ha ha ha ha ha ha ha wewe jamaa kwenye mambo ya dhidi ya chama flani huwa unanifurahisha saaana.
 
Ukimuona kiongozi wa nchi anathubutu kusema uongo hadharani ili ajipatie umaarufu na pale subordinates wake wanapokosoa uongo wake naye anakasirika na kuamua kuwafuta kazi basi ujue kiongozi huyo hana sifa ya kuwa kiongozi, ni mtu hatari sana, ana walakini wa kiakili na pia anatumia vibaya madaraka yake kuwakomoa watu.

Anajiona ana akili sana, anajiona malaika asiyejaribiwa, anajiona ana nguvu sana, ukimuangalia vizuri usoni wakati anaongea utagundua kuna kitu hakipo sawa
 
Suala sio kuombeana au kutakiana mabaya. Sio vizuri na sio maadili au misingi ya Taifa letu. Tabia na Utamaduni wa chuki uliotanda katika jamii ya nchi za Maziwa Makuu tusiruhusu kuingia Tanzania.

Rais wetu, Kiongozi wetu ana haki na heshima zetu zote. Pia sisi ni jukumu letu kulinda hadhi na utu wa Kiongozi wetu.

La muhimu, tuchukue fursa hii ya mitandao kuelimishana.

Bila shaka, Rais wetu sio mbomoaji, nia yake ni nzuri na anameonekana ana hamu kubwa la kulijenga Taifa letu. Tutakuwa nae kutimiza nia yake nzuri ya kuliendeleza Taifa letu.

Tuwacheni chuki binafsi.

Mhe. Tundulisu alizungumza vizuri kwenye hoja yake moja Bungeni, kuwa watendaji kazi wa Serikali wanafanya kazi zao kwa kuogopa na pia wengi wanafanya kwa kutaka sifa. Hapo ndipo wanapolipaka tope Awamu ya 5.

Sisi pia tunaotoa maoni, maoni yetu yawe na busara ili iwe source ya elimu kwa Serikali au jamii. Na pia sio maoni yetu tuu, tuonyeshe kwa vitendo. Vitendo vizuri.

Ni kweli kama binaadamu yeyote Rais wetu hajui mengi, tunamsihi na tunamuomba atoe mwanya wa kushaurika na wananchi, haitaidhuru au kulipunguzia Taifa au Serikali yetu lolote.
Rais Mstaafu wa Afrika ya Kusini Bwana Thabo Mbeki (Mpigieni makofi na mshangilieni) tunamkumbuka kwa mfumo wake mzuri wa Utawala: "Watu Mbele" au Wananchi Kwanza, na nadhani mpaka sasa Watanzania ndio wana kiu hicho.

Leo kwenye mitandao hii, tusimpinge mtu binafsi, tupinge sera dhaifu zinazotawala, na sio kwa ajili ya manufaa yetu binafsi tuu, bali ni kwa ajili ya kizazi kinachokuja.

Mengi hapa sio mawazo yetu Binafsi au kwa ajili ya Matamanio yetu Binafsi. Tunaunga mkono au Tunapinga chini ya Kivuli cha Wale Waliotangulia, Misingi na Maadili mazuri ilyowekwa na wale Waliotangulia kama akina Patrice Lumumba, Mwalim Nyerere na Nelson Mandela, juhudi zao zimeleta mafanikio makubwa kwenye bara hili.

Wengi hatuna nia mbaya wala hatutakiani ubaya. Its a way to stimulate and expand our views and our intelligence, and this has been a unique theory that has been used in any political organization or many educational institutions. This is what brought and added civilization to the human history.

We will debate, we might agree or disagree, but at the end of the day lets eat and drink together. Our Unity is essential.

JF, you deserve our Thanks!
Our prayers are with Comrade Max Melo, his family, and his folks, all the honest protesters and activists on JF. We extend our Thanks to our fellow citizens and all the children of this blessed Continent.

Long Live the Spirit of Bantu Stive Biko "I Write What I Like".


38bee231581a762cfc632140edb7427b.jpg
 
Wakitangaza ukuta mwaka 2018 watakaojitokeza ni wengi maana tutakuwa tumeisoma namba vizuri.. Ukawa hawakujipanga waliwaisha mno na baaaaaaaaaaado tu. Hamumujui jpdicteta magufuli for change
 
Unaogopa?
Ngabu ndg yangu hatujajua Bwn Ben Saa Nane yuko wapi!!
Mkuu Max yuko ndani kutafuta kuziba JF ili tuwe mabubu!!
Kamanda Lema anafanyiwa political assessination kwa nguvu zote!!
Bado unasema huogopi??
Mwenye nguvu mpishe.
Ivumayo haidumu!!
 
Hata kulike point nzuri tumekuwa waoga maana unaweza ukalike nyundo ya mdau kumbe jamaa ndio wanaispot hiyo hiyo nyundo wakijafanikiwa (just incase) kupata access ya jf watabeba mtoa hoja na waliolike.
Mbona tunalo
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom