Nataka Rais Magufuli ashindwe

Status
Not open for further replies.
Chadema walivyoogopa kuandamana, ndio imetoa kicwa kwa viongozi wetu kuona kwamba sie bado ni waoga tuu. Watatufanya wanavyotaka, period!
 
Kwa jinsi navyoona itafikia hatua mitandao itaanza kublokiwa kama china.chamsingi hapa hawa wandugu wahamishe tu location waanze kuoparate kutoka nje wakiwafungia tunaanza kutumia VPN tu.china hadi gugo waliifingui lakini bado inatumika tu.hili li inchi lishaanza kuwaka moto bora kujilipua tu bichi
 
Reactions: ibn
'IF WISHES WERE HORSES BEGGARS WOULD FLY'
 
Yeyote anayetaka kuzuia na kuzima taa inayowaka kwa vijana kupitia jamiiforum kwa vijana kupata habari alaniniwe na kila mtu.

Ni vema nchi ikaongozwa kwa mujibu wa katiba na sheria za nchi na si mawazo na mtizamo wa mtu mmoja.

Jambo l a muhimu ni watu wote kufahamu kuwa uongozi ni dhamana na una mwisho wake na hakuna hata mtu mmoja atakayeongoza wengine maisha yake yote.

Hujuma yeyote dhidi ya jamiiforum na mitandao yote ya mawsiliano ishindwe na kulegea katika jina la Yesu.

Max Melo aachwe huru mara moja aendelee na shughuli zake na si kumtengenezea mazingira ya kumtisha kama inavyoonekana sasa.

Tuacheni huru jamani mmetubana mno hadi tunakosa amani duuu!!!
 
Kwa nini usimdindie wewe mmeo na watoto wako nyumbani kwako mpaka utuhusishe sisi. Chuki binafsi ni matapishi tu unayotuletea hapa. Hatuna muda nazo. Kama umeshindwa maisha hapa duniani kwa nini usijaribu ahera !
Unatoa mapovu bure tu...
 
Na ye huwa anaisoma namba akiwa Magogoni..polepoleehhh wana JF jmn ohoo msije mtoa roho mwenzenu, anajua kutumbua tuu,kutumbuliwa kunaumaaa kumbeee hahaaahaaha
 
Naona akisomaga baadhi ya comments itakua hadi anazimia hadi wampepeeee...
 

Kwani mtu akianzisha habari hapa kwamba Dangote anahamishia kiwanda Kenya na wewe ukaamini, unafikiri ni nani anapaswa kuswekwa rumande? Kwa maoni yangu, ni wewe unayeamini vitu hovyo hovyo bila kuhoji. Jinga kabisa. Tena hustahili kuchangamana na jamii. Unapaswa kufungwa. Yaani mtu anakuambia lile likiwanda linahamishiwa Kenya na wewe unakubali tu kama zuzu. Na kwa taarifa yako, investors ni watu makini and very informed. Usifikiri wanayumbishwa kwa taarifa fake unazoweka hapa JF. Umeniuzi sana kwa sababu ni watu wenye mawazo kama yako mnaojenga hoja za kijinga mpaka Max yuko ndani sasa na hatima yake haifahamiki. Eti impacts kwa wawekezaji huko nje! Ndio ulichomwambia JPM na kufanya Max akamatwe? Mijitu mingine sijui kwanini imetokea kuwa sehemu ya jamii yetu. Nalaumu sana elimu yetu. Ndio imetupatia watu wa namna hii. We need to do something guys.
 
Ndo ushangae yanii...vitu kibaooo wamebanaaa posho,safari nje,semina,hela kwny mzunguko,uchumi,maandamano,n.k wamebanaaaa hatarii walau tupumuliee hapaaa JF,polisi na serikali hebu tuacheniiii tuwe huruu kutoa stress online,tuyaseme yetu ya moyoni wapiiiiii,,,,????
 
Vijana wa Kitanzania mnaongoza kwa UNAFIKI ulimwenguni. Unatumia Fake ID humu JF wakati huo huo unahoji Uhalali na Utendaji wa Rais wa Jamhuri ya Muungano! Ama kweli wapiga Dili mmeshikwa pabaya.
Je na wewe hiyo ID yako siyo feki?
Nyani haoni kundule...
 
Watu wa aina yako ni wengi ktk Africa na Tanzania binafsi sioni shaka inawezekana upo kazini ni sehemu ya maisha yako.
Kwa kizazi cha aina yako Africa na Tanzania inahitaji miaka 10000 kufikia Dunia ya kistaarabu.
mkuu kwa watu ka huyo yangekuwa mahindi au mifugo mbegu yake ingekuwa ilisha telekezwa mda maana haifai
 
kwa sasa ndo nimegundua uraia wa nchi mbili ni muhimu sana.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…