Nataka Rais Magufuli ashindwe

Status
Not open for further replies.
Ndio maana Nagufuli anaamua kuwabana watu wajinga kama ninyi sasa ishu ya viwanda hapa inatoka wapi? Mpinge Magufuli kwa hoja siyo unakuja hapa kwa vimaneno vyako vya jejeli alaf eti unasema ndio unakisoa
Kwani mtu akiongea anamzuia Mtukufu kufanya kazi!! Kwanini asitimize hizo ahadi zake ili kuwaprove wrong hao wakosoaji au wanao mtukana. Mbona Trump kapigwa na kila media kubwa nchini Marekani na Dunia nzima na bado kashinda uraisi!?
 
Mkuu huyo unaweza kuta ni mama wa watoto watano,mme wa mtu mmoja,vimichepuko serengeti sita,kadi ya lumumba na mkopo sugu usiolipika sacos yao huko lumumba ndio inabidi ajiwehushe kuposti ushuzi humu.
True ngoja nimuache. Inawezekana hata tv anaangalia TBC na Clouds tv.
 
Ni lini Mungu alihusika kwenye uchaguzi hapa nchini,acha uongo na usiwe unamhusisha Mungu kwenye vitu vya aina hii.
Alafu hii tabia na ujasiri wa watz kumtumia Mungu kujustfy upuuzi na wizi kwenye chaguzi sijui wana ipata wapi!?
au labda mimi ndio sielewi, labda wana mtaja huyo mungu wa Dar.
 
Alafu hii tabia na ujasiri wa watz kumtumia Mungu kujustfy upuuzi na wizi kwenye chaguzi sijui wana ipata wapi!?
au labda mimi ndio sielewi, labda wana mtaja huyo mungu wa Dar.
Wanajipendekeza tu mitandaoni waonwe.......wanamjua kweli Mungu au wanasikia tu neno Mungu
 
Usijidanganye kua Mungu hausiki kwa kuegemea kwenye ushabiki.
Labda huyu Mungu wa Dar. Mungu ni mtakatifu, mkamilifu na ukamilifu wake hauna mipaka, Acheni kumuhusisha Mungu kwenye mambo ya kijinga bana. Kwa mfano unataka kutuambia Jeicha alitokewa na malaika na akaamua kufuta uchaguzi kule Zenji!?
 
Thinking outside the box.
Aliyeandika uzi huu ana lengo baya na jamii forums.
Hajauleta kwa bahati mbaya.
Hata wanaochangia kwa matusi bila staha nao ni hivyo hivyo.
Justification inatafutwa.
Very unusual watu kukosa woga na adabu kiwango hiki.
Hivi ukikosoa jambo tendo hili linakuwa tusi? Kumbe ndiyo mana mawaziri wamekuwa wakiitika "ndiyo mzee" hata kama kwa jambo lisilowezekana wanaogopa jamaa asiwamafuru. Hebu nikukumbushe unakumbuka mjadala wa tozo la VAT kwenye miamala ya benki kuna viongozi walijitoa ufahamu kwa kuogopa kwenda kinyume na mfalme. Matokeo yake nafikiri unayajua, ukienda kwenye Atm unachapwa kiboko kilekile
 
Naona umejilipua mkuu
 
UNAPEPO NA NINAONA PEPO WENGINE 106 WAME LIKE
 
Mimi najiuliza tu, hivi watu wanaenda makanisani na misikitini kumuabudu Mungu yupi ambaye anataka watu wake waseme ndio kwenye sio na sio kwenye ndio?
 
Una uhakika gani na unalolisema wewe gamba original
 
Naomba Waheshimiwa wasijue nimeisoma hii Post[emoji30][emoji30][emoji30]
 
Safi sana. Umeongea sawa kabisa.
Kuna wenzetu wanaogopa viwanda vyao vya kufyatua uongo vitafilisika. Shame on them

Kwani mtu ukitoa maoni yako pasipo kutoa matusi au ukianzisha uzi wenye uhalisia na usio wa kichochezi unakuwa na hofu ya nini?
 
Lakini Ngabu si majuzi juzi tu ulikuwa unawazodoa waliokuwa wanalia juu ya rafu zinazochezwa na awamu ya tano?

Kwani wewe ulidhani ni masihara?

Well kuna watu wanaamini siasa si muhimu kwa mustakabali wa nchi au maisha yao, lakini ukweli ni kuwa siasa kama ilivyo pesa ni mchezo muhimu na wa hatari sana kwa wanaocheza na wasiocheza.
 
Nyani ngabu katukosea sana watanzania. Katukashfia Rais wetu

 
Mtu umekula makukuru(aina ya makande) ganda la maharagwe limebaki kwenye meno kinywani hukujiangalia kwenye kioo ukotoka mbele ya wenzako mnapiga stori kwa kuwa wewe hupendi kukosolewa wenzako wanakuaacha lakini ujue umeaibika na pia wamekujua wewe umekula nini huku ukitamba umekula nyama, lakini kama wewe ni muungwana watakuambia utoe hilo ganda.
Sasa Rais wetu na jeshi la polisi kuweni makini kwani kumsemwa kiongozi yeyote ni vema kwake kutambua na kijirekebisha pale anapoona amekosea kwa kuwa hakuna binadamu aliyekamili kwa 100%.
Pia inaonekana Rais wetu sio mvumilivu na kukosa uvumilivu kunapungaza sifa ya kuwa kiongozi.
 
mitandao ya kijamii pamoja na kupashana, kuelimishana na kuburudishana, inatumika kuondoa mihemuko. ni relief valve. utapoteza muda na raslimali kupambana na kundi hili la mwisho bila mafanikio kama hutafanikiwa kujua chanzo kikuu cha mihemko yao.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…