mchukunuzi
Member
- Jan 2, 2017
- 89
- 89
Like comment yangu nikuunganishe katika kikundi cha maombi
Mchanganyo..Like comment yangu nikuunganishe katika kikundi cha maombi
Asante kwa ku like ntakuja inbox ili tupeane contact
Siyo kila kanisa linamuhubiri Mungu wa kweli bibie, mengine yanawatukuza binadamu wanaojiita manabii
Umeamua kumtangaza mchungaji wako Boaz kupitia @JFSina furaha sina amani kwa maisha nayoishi nataka nimrudie Yesu anisamehe dhambi nahisi ndo zinanikwamisha. Mda mwingine huwa nasali mwenyewe lakini naona kama Roho Mtakatifu yupo mbali na mimi, sala zangu hazileti matunda kwa sasa nataka niokoke nisimame sawa sawa shetani ananitesa.
Nahitaji nguvu ya wengi
Nipo Iringa namuhitaji mchungaji Boaz Solo mwenye radio ya Overcomes Fm.
KalibuUmeamua kumtangaza mchungaji wako Boaz kupitia @JF
Acha kuongopea watu aliyejwambia kwa walokole ndo Kuna mungu Nani je yesu alikuwa mlokole?? Yesu aliongoza sala ya toba usijifanye unamjua mungu kumbe zero. Mungu unamjua tangu uzaliwe ila tumekengeuka kinachotakiwa kuwa kama Mimi amini MUNGU MMOJA TU ALIYEKUUMBA KAMA NI SADAKA WAPE WAJANE NA YATIMA FULL STOPMPE yesu maisha yako yote,kumbuka wokovu ni kutangaza vita na shetani lakini Mungu atakushindia
Achana na Mchungaji Boazi tafuta kanisa lolote LA walokole wakuongoze sala ya toba
Muulize askofu Boaz Solo kilichomkimbiza Kizota Dodoma ni nini ? Huyo hawezi kuhudumu anakojulikana maisha yake ya ndoa ya kama Mjini Dodoma.Kalibu
hata mm natamani sana mkuu naskia ni.mpaka uwasiliane na modsMAN kimsboy HIVI HILO JUKWAAA LA DINI NI SIFA GANI MTU UWE NAZO NDO UWEZE KUSOMA THREAD ZAKE.MANA TANGU 2011 IF I NOT MISTAKEN NIJIUNGE JAMII FORUM NIPO TANGA ADVANCE SHULE.HADI LEO SIJAWAHI ACCESS.nishaomba sana kwa @moderators holaaaa.JAMAN nawaombaaaa NIUNGANISHENI
Niendelee kuzinzika? haya ndio mawazo ya mlokole typical, kujidhania wao ni watakatifu kuliko wenzao kisa wametofautiana imani...huu ni ugonjwa mbaya sanaNaona umeamua kuwa mjumbe wa ibilisi kumpotosha mwenzio! Kuna makanisa mengi sana yana mtumikia Mungu. Marafiki hawawezi kuwa na msaada muache aokoke wewe endelea kuzinzika tu.
Mtu hunena yajazae moyo wake, unamzuaje asiokoke kisa et wachungaji wata take advantage ya matatizo yake? Wewe unawajua wachungaji wote? Ndiyo wewe ni wakala wa ibilisi kama walivyo wachawi, wanga na waganga wa kienyeji, sema wewe ni indirect devil's agent ndiyo maana umesimama upande wake.Niendelee kuzinzika? haya ndio mawazo ya mlokole typical, kujidhania wao ni watakatifu kuliko wenzao kisa wametofautiana imani...huu ni ugonjwa mbaya sana
Kwa hiyo unapinga kuwa hakuna wachungaji matapeli? kumwambia mtu kuna wachungaji matapeli nimeshakua 'muovu' tayari.....Mtu hunena yajazae moyo wake, unamzuaje asiokoke kisa et wachungaji wata take advantage ya matatizo yake? Wewe unawajua wachungaji wote? Ndiyo wewe ni wakala wa ibilisi kama walivyo wachawi, wanga na waganga wa kienyeji, sema wewe ni indirect devil's agent ndiyo maana umesimama upande wake.
Pia unazinzika kataa!
Kitendo cha kumwambia mtu asiokoke hakiwezi kufanywa na mtu mwenye Mungu, ..wewe umesema wachungaji wata take advantage means wote,hapo ndipo ulipo haribu, kuna wachungaji wa kweli tena wengi kuliko wa uongo na uwepo wawachungaji wa uongo siyo sababu ya kumzuia mtu kuokoka wakati mwingine usijitie kiherehere kuchangia kitu usicho kijua.Kwa hiyo unapinga kuwa hakuna wachungaji matapeli? kumwambia mtu kuna wachungaji matapeli nimeshakua 'muovu' tayari.....