Degelingi_One
Member
- Nov 17, 2018
- 72
- 122
Hivi kati ya tecno na Samsung ipi nzuri!!?
Duuh!!.. Umefikiria mbali aisee..Tecno ni nzuri kuliko Samsung maana ikipotea hautakuwa na mawazo kama aliyepoteza Samsung.
Sijui uwezo wa betri mnalinganishaje, mimi ninaona Samsung kwa sasa wameboresha mfumo wa betri, cha msingi nunua original.Samsung tatizo lao liko kwenye btriii, yaani betrii zao hazidumu kivile
hiv kati ya biskuits na mkate unashiba nini...Hivi kati ya tecno na Samsung ipi nzuri!!?
imeboreshwa aAisee hasa hzi series za j1 j2 j5 j6 j7 betri iko poa sanaSamsung tatizo lao liko kwenye btriii, yaani betrii zao hazidumu kivile
Hiyo j7 si ndiyo inalipuka hiyo.imeboreshwa aAisee hasa hzi series za j1 j2 j5 j6 j7 betri iko poa sana
Hiyo j7 si ndiyo inalipuka hiyo.
Tecno siyo simu bali ni mfano wa simu,sumsung ni simu,hivyo huwezi linganisha tecno na samsung hata kidogoHivi kati ya tecno na Samsung ipi nzuri!!?
Samsung ni bora kwa kiasi fulani,ila ni ghali.Kama una hela zisizo na kazi,hasa ukizingatia kwamba vyuma vimekaza,nunua Samsung.Ila kama ni mtu unaejali pesa,nunua Techno.Ni nzuri tu,mimi ninayo Techno W4 sasa mwaka karibu wa nne huu, inadunda tu.Hivi kati ya tecno na Samsung ipi nzuri!!?