π π π π π π π π π π ππππππ..nakwede nakugawaa...hahahhahahahahahahView attachment 1151067
Huo mkono uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
π π π π π π π π π π ππππππ..nakwede nakugawaa...hahahhahahahahahahView attachment 1151067
π π π π π π π π π π π
Huo mkono uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Kabisa dadangu nashangaa watu wamedeal namm kuamua kutosex nae wanaacha kuangalia vitu vya msingiWewe kaka usiwasikilize hawa...msichana ndo kwanza unaenda A level.unaanza ingiza wanaume tena ugenini hii sio dalili njema kbs..kwanza kitafeli shule labda kiwe na akili za ziada...katakuletea magonjwa bure..katumie msg kaambie kaka amejua ameksairika sana...kaambie kakifunga shule kasije hapo..ww unashindwaje kumpa mtu biti na ni kwenu??shauri zako..utakuja nikimbuka..hv amekuanza wa atahamia kwa kaka yako![]()
Hiyo mikono labda aishie kushika mapaja tu, ila akipanda zaidi anaweza kukuchubua!!!!hhahahaa hapendwi mtu inapendwa pesaaaπππ
Hiyo mikono labda aishie kushika mapaja tu, ila akipanda zaidi anaweza kukuchubua!!!!
Kabisa dadangu nashangaa watu wamedeal namm kuamua kutosex nae wanaacha kuangalia vitu vya msingi
Na moja ya vi2 nsivyopendaga ni girl kuonesha love signs kwangu,huwa nahic kma ni kagari kamkaa tayar ndo maana nlikakwepaUsijaribu!kwanza naonaga kitoto cha kujitongozesha kwa mamen hav7naga radha...arghhh piga makofi kbs hicho
Na moja ya vi2 nsivyopendaga ni girl kuonesha love signs kwangu,huwa nahic kma ni kagari kamkaa tayar ndo maana nlikakwepa
Ssa kalivo kajinga kakaamua kurevenge kanavodai
Ilitokea ghafla2 as human nkaona kuliko kumuignore total ngja nifanye2 ivo ila nsiende mbali zaidiKama ni kweli huyo dogo ni mpuuz mtimue tu.
Sema tu unatia wasiwasi. Kama ulikwisha fanya kissing na yeye ukashindwa kumtia bas nawe pia ni mpuuz. Kissing ya nini wakati huna interest naye?
Dah yan hata kwenye chats mambo kalokua kanaongea sijawai hta kuyackia ndo nkapeperuka kbsaHahahhaa ni kweli kbs..raha ya mwanamke utongozwe bwana...!sio.ujitongozeshe...yaan hako kameanza kudanga udogoni hvyo?kawekee hatebya kufa mtu kagundue kbs...ika kuna watu wanapewa malezi ya ajabu...yaan niende ugenini nilete mpenzi hapo home???shenzy san
sio kukapiga beat piga makofi kabsa kabla hakajawapanda kichwani!Kwa hiyo nisimwmbie mtu wala nisikapige beat kwamba kasirudi tena kakisepa?
Dah yan hata kwenye chats mambo kalokua kanaongea sijawai hta kuyackia ndo nkapeperuka kbsa
Sasa Ndo Kama bahati nkakafuma juzi kati
Saivi ananyoa kiduku akati kaja nywele tii
sio kukapiga beat piga makofi kabsa kabla hakajawapanda kichwani!
halaf inaonekana huwa mna mazoea ya kijinga hadi mnavhat chat tu upuuzi
Hata mzee wako akijua atakuona fala sana, unaangusha mno wanaumeSawa kaka ila kweli ndo hadi awalete hom hii cni kudhalilisha kingdom afu kibaya anafanya kama revenge kwangu
kumbe hadi Kissing mlishafanya basi wewe ni mjinga sana hora ungetomba tuMie hom tumeishi na ndg wengisana .nisingekuwa mkali wangenila kila mtu...yaan nilifukuza watu km wa4 ...shenzy kbs..unahitaj msaada alafu unatongoza mtoto wa mwenye nyumba??shenzy typ
Na ww ulifika mbali...had mnachat?
Jogoo anawika sawa sawa? Ulishawahi kumtest? Huenda unatatizo hilo. Soma comments za wadau waliowengi kisha jitafakariHabari wakuu
Kuna binti alikuja home miezi kadhaa nyuma baada ya kumaliza O level kwa ajili ya maandalizi ya Advance kwani alifaulu
Sasa baada ya kuzoeana alianza kuonesha interest tofaut tofaut za kimapenzi kwangu ila mimi kiukweli nlimuignore na sikufanya nae chochote zaidi ya kissing tu usiku mmoja aliponivamia gheto kwangu bila kutarajia
Sasa ijumaa iliyopita nlikua natoka center mida ya saa tano usiku nlipokaribia karibu na hom nkaona anaongozana na jamaa hadi kwenye chumba tulichompatia kwa ajili ya kukaa maana kinajitegemea
So nlichofanya nlienda hadi dirishani kwake nikagonga nkamuita ili kuwaaribia mood then nkaondoka then baada ya dk kadhaa akantxt eti"Kuna mgeni" nkamjibu Nimeona kila kitu na naomba umuondoe haraka sana.
Baada ya mda nkarudi kuhakikisha nkawaona wanaagana na akantxt kwamba eti mara yake ya kwanza kumleta na hii nimesababisha mimi maana namuignore.
So wadau mpaka leo sijamwambia mwanafamilia yeyote kuhusu hili swala ila nataka nimwambie huyu binti kuwa siku atapoondoka kwenda shule asiwahi kurudi tena hapa nimeshajaribu kumtxt aje nimwambie physical ila ananikwepa sana
Je ntakua sawa nikimpiga biti asikanyage tena hapa hom?