Nataka nimpige marufuku asirudi tena

Nataka nimpige marufuku asirudi tena

Me mtu mzima kaka 27 sio ndogo
Sema nlitumia busara zilopitiliza maana ngereact ucku ule najua yangezuka mengi sana
Sasa 27 alafu huyo dogo analeta vijamaa mbele yako???? Maana mtoto wa form five ni miaka 18 hapo mkubwa sanaa... Sasa duuh gape lote hilo dogo hata hakuogopi analiwaa mbele yakoo.. Aisee dharau hizoo me kuna dogo langu lilitafuna manzi kama hivyo hivyoo
 
YANI UMRI WAKO UNA UMRI WAKE BINTI NA WEWE UNAVYOJIELEZEA HUMU SAANA INAINYESHA UNA MATATIZO SANA, SASA ULITAKA NANI AMGONGE KAMA WE HUTAKI KUMGONGA..ACHANA NAYE BASI ...VITU VINGINE MALIZA KIMYA KIMYA...TOA TU MREJESHO....
 
Habari wakuu

Kuna binti alikuja home miezi kadhaa nyuma baada ya kumaliza O level kwa ajili ya maandalizi ya Advance kwani alifaulu

Sasa baada ya kuzoeana alianza kuonesha interest tofaut tofaut za kimapenzi kwangu ila mimi kiukweli nlimuignore na sikufanya nae chochote zaidi ya kissing tu usiku mmoja aliponivamia gheto kwangu bila kutarajia

Sasa ijumaa iliyopita nlikua natoka center mida ya saa tano usiku nlipokaribia karibu na hom nkaona anaongozana na jamaa hadi kwenye chumba tulichompatia kwa ajili ya kukaa maana kinajitegemea

So nlichofanya nlienda hadi dirishani kwake nikagonga nkamuita ili kuwaaribia mood then nkaondoka then baada ya dk kadhaa akantxt eti"Kuna mgeni" nkamjibu Nimeona kila kitu na naomba umuondoe haraka sana.

Baada ya mda nkarudi kuhakikisha nkawaona wanaagana na akantxt kwamba eti mara yake ya kwanza kumleta na hii nimesababisha mimi maana namuignore.

So wadau mpaka leo sijamwambia mwanafamilia yeyote kuhusu hili swala ila nataka nimwambie huyu binti kuwa siku atapoondoka kwenda shule asiwahi kurudi tena hapa nimeshajaribu kumtxt aje nimwambie physical ila ananikwepa sana

Je ntakua sawa nikimpiga biti asikanyage tena hapa hom?
kubabake we jamaa niboya kinoma,mkuyenge wako unatumika kukojoa tuu
 
angalia usije ukagongwa wewe mwenyewe maana huo ni wivu wa kike kuoneana wivu wa mabwana
 
Sasa 27 alafu huyo dogo analeta vijamaa mbele yako???? Maana mtoto wa form five ni miaka 18 hapo mkubwa sanaa... Sasa duuh gape lote hilo dogo hata hakuogopi analiwaa mbele yakoo.. Aisee dharau hizoo me kuna dogo langu lilitafuna manzi kama hivyo hivyoo
Dah haya mambo kiukwel siyapagi kipaumbele kbsa
 
Habari wakuu

Kuna binti alikuja home miezi kadhaa nyuma baada ya kumaliza O level kwa ajili ya maandalizi ya Advance kwani alifaulu

Sasa baada ya kuzoeana alianza kuonesha interest tofaut tofaut za kimapenzi kwangu ila mimi kiukweli nlimuignore na sikufanya nae chochote zaidi ya kissing tu usiku mmoja aliponivamia gheto kwangu bila kutarajia

Sasa ijumaa iliyopita nlikua natoka center mida ya saa tano usiku nlipokaribia karibu na hom nkaona anaongozana na jamaa hadi kwenye chumba tulichompatia kwa ajili ya kukaa maana kinajitegemea

So nlichofanya nlienda hadi dirishani kwake nikagonga nkamuita ili kuwaaribia mood then nkaondoka then baada ya dk kadhaa akantxt eti"Kuna mgeni" nkamjibu Nimeona kila kitu na naomba umuondoe haraka sana.

Baada ya mda nkarudi kuhakikisha nkawaona wanaagana na akantxt kwamba eti mara yake ya kwanza kumleta na hii nimesababisha mimi maana namuignore.

So wadau mpaka leo sijamwambia mwanafamilia yeyote kuhusu hili swala ila nataka nimwambie huyu binti kuwa siku atapoondoka kwenda shule asiwahi kurudi tena hapa nimeshajaribu kumtxt aje nimwambie physical ila ananikwepa sana

Je ntakua sawa nikimpiga biti asikanyage tena hapa hom?
Nenda hospital mzee utakuwa na matatizo sio bure
 
Jenga yako ili uwe na mamlaka nayo. Unaleta ki bass kwenye nyumba ya urithi. Wewe wa wapi wewe
 
Jenga yako ili uwe na mamlaka nayo. Unaleta ki bass kwenye nyumba ya urithi. Wewe wa wapi wewe
Acha kutetea ujinga kaka mbona akili zenu zimeoza ivi
Hivi hili swala kimaadili nilakufumbua macho kweli?
 
Mtoa mada yawezekana ulikuwa na nia njema,ila najiuliza kama lengo ni kuzuia hiyo tabia ya kuleta wanaume hapo nyumbani,sawa ni jambo jema na si ustaarabu hata kidogo,
Kwa nini msimuite na kumkanya kama dada yako tu na akajua uko serious katika hilo?
Lakini pia wewe uliwahi kumpiga kiss je unaweza kumcommand kama ambavyo ungefanya kwa dada yako?
Ndio maana imeonekana kama ni wivu tu,,lakini alileta mgeni wake muda gani?
Je anachokifanya madhara yake wewe yanakuathiri nini?
Nina mengi ila jaribu kuongea nae kama kaka,ukixhindwa basi na wewe omba utom.....be
 
Simtaki nataka asepe akafanyie ujinga wake mbali
Unataka asepe kwani wewe ndie ulimkaribisha hapo kwenu,angalia atakuumbua si ulishamkiss tafakuli kabla ya kukulupuka,narudia tena atakuumbua chart zako anazo,utageuziwa kibao,wewe piga kimya tu
 
***** mtoa Mada unatia hasira na kichefuchefu unatuaibisha wanaume
 
Sawa roho kuuma ni sehemu ya binadamu ila kiuhalisia ni sawa kulifumbia macho?
Kwan wewe inakuuma nn kudinywa yeye?
Wewe udomo zege wako nakuogopa eti n student sasa wenzio pamoja na uanafunzi wake lakini mabaharia wanakula had wanasaza. Usimuonee wivu!
Mkaribishe tu ht sikuingie arudi.
 
Back
Top Bottom