Nataka nimpige marufuku asirudi tena

Nataka nimpige marufuku asirudi tena

Acha kutetea ujinga kaka mbona akili zenu zimeoza ivi
Hivi hili swala kimaadili nilakufumbua macho kweli?
Maadili unayajua wewe. Nchi hii ingekuwa na maadili basi kusingekuwa na viongozi mapungazeze. Kungekuwa na maadili watu kama Bashite au Musiba wangekuwa behind bars

Maadili ni myth
 
Sawa wakuu nimewaelewa
sitamwambia chochote me naendelea na yangu
 
Unataka asepe kwani wewe ndie ulimkaribisha hapo kwenu,angalia atakuumbua si ulishamkiss tafakuli kabla ya kukulupuka,narudia tena atakuumbua chart zako anazo,utageuziwa kibao,wewe piga kimya tu
Ha ha haaa
Mleta mada mmemsambaratisha vilivyo
 
Waambie wanafamilia....atawaletea majambazi jinga wewe....
 
JF siku hizi ni utoto mtupu.
Habari wakuu

Kuna binti alikuja home miezi kadhaa nyuma baada ya kumaliza O level kwa ajili ya maandalizi ya Advance kwani alifaulu

Sasa baada ya kuzoeana alianza kuonesha interest tofaut tofaut za kimapenzi kwangu ila mimi kiukweli nlimuignore na sikufanya nae chochote zaidi ya kissing tu usiku mmoja aliponivamia gheto kwangu bila kutarajia

Sasa ijumaa iliyopita nlikua natoka center mida ya saa tano usiku nlipokaribia karibu na hom nkaona anaongozana na jamaa hadi kwenye chumba tulichompatia kwa ajili ya kukaa maana kinajitegemea

So nlichofanya nlienda hadi dirishani kwake nikagonga nkamuita ili kuwaaribia mood then nkaondoka then baada ya dk kadhaa akantxt eti"Kuna mgeni" nkamjibu Nimeona kila kitu na naomba umuondoe haraka sana.

Baada ya mda nkarudi kuhakikisha nkawaona wanaagana na akantxt kwamba eti mara yake ya kwanza kumleta na hii nimesababisha mimi maana namuignore.

So wadau mpaka leo sijamwambia mwanafamilia yeyote kuhusu hili swala ila nataka nimwambie huyu binti kuwa siku atapoondoka kwenda shule asiwahi kurudi tena hapa nimeshajaribu kumtxt aje nimwambie physical ila ananikwepa sana

Je ntakua sawa nikimpiga biti asikanyage tena hapa hom?
 
Back
Top Bottom